Salmos 118

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;

2 Israeli na aseme sasa:

3 Nyumba ya Aroni na iseme sasa:

4 Wote wamchao Bwana na waseme sasa:

5 Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana,

6 Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa.

7 Bwana yuko pamoja nami,

8 Ni bora kumkimbilia Bwana

9 Ni bora kumkimbilia Bwana

10 Mataifa yote yalinizunguka,

11 Walinizunguka pande zote,

12 Walinizunguka kama kundi la nyuki,

13 Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,

14 Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu,

15 Sauti za shangwe na ushindi

16 Mkono wa kuume wa Bwana

17 Sitakufa, bali nitaishi,

18 Bwana ameniadhibu vikali,

19 Nifungulie malango ya haki,

20 Hili ni lango la Bwana

21 Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,

22 Jiwe walilolikataa waashi,

23 Bwana ametenda hili,

24 Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya,

25 Ee Bwana, tuokoe,

26 Heri yule ajaye kwa jina la Bwana.

27 Bwana ndiye Mungu,

28 Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,

29 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 118, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.