1 Ndipo Ayubu akajibu:
2 “Bila shaka ninyi ndio watu,
3 Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi;
4 “Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu,
5 Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba
6 Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi,
7 “Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha,
8 au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha,
9 Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua
10 Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe,
11 Je, sikio haliyajaribu maneno
12 Je, hekima haipatikani katikati ya wazee?
13 “Hekima na nguvu ni vya Mungu;
14 Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena;
15 Akizuia maji, huwa pana ukame;
16 Kwake kuna nguvu na ushindi;
17 Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara,
18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme,
19 Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara,
20 Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika,
21 Huwamwagia dharau wanaoheshimika,
22 Hufunua mambo ya ndani ya gizani,
23 Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza;
24 Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao;
25 Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga;