1 Crônicas 8
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs VC
1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,
1 Benjamim gerou Bela, seu primogênito, Asbel, o segundo, Aara, o terceiro,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
2 Noaa, o quarto e Rafa, o quinto.
3 Wana wa Bela walikuwa:
3 Filhos de Bela: Adar, Gera, Abiud, Abisué, Naamã, Aoé,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
4 Gera, Sefufã,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
5 Hurão.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
6 Filhos de Aod: eram os chefes das famílias que habitavam Gabaa, transportados para Manaat:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
7 Naamã, Aquia e Gera, que os transportou, o qual gerou Oza e Aiud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
8 Saarain teve filhos na terra de Moab, depois de ter repudiado suas mulheres Husim e Bara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
9 Nasceram de Hodes, sua mulher: Jobab, Sebia, Mosa, Molcon, Jeús, Sequia e Marma,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
10 que são seus filhos, chefes de famílias.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
11 De Husin teve Abitob e Elfaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa:
12 Filhos de Elfaal: Heber, Misaão e Samad, que construiu Ono e Lod, e as cidades que dela dependem.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
13 Baria e Sama, chefes das famílias que habitavam Aialon, puseram em fuga os habitantes de Get.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
14 Aio, Sesac, Jerimot,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
15 Zabadia, Arod, Heder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
16 Miguel, Jesfa e Joá eram filhos de Baria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
17 Zabadia, Mosolão, Hezeci, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
18 Jesamari, Jezlia e Jobab eram filhos de Elfaal.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
19 Jacim, Zecri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
20 Elioenai, Seletai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
21 Adaia, Baraia e Samarat eram filhos de Semei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
22 Jesfã, Heber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
23 Abdon, Zecri, Hanã,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
24 Hanania, Elão, Anatotia,
25 Ifdeya na Penueli.
25 Jefdaia e Fanuel eram filhos de Sesac.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
26 Samsari, Sooria, Otolia,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
27 Jersia, Elia e Zecri eram filhos de Jeroão.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
28 São estes os chefes de famílias, chefes segundo suas genealogias. Habitavam em Jerusalém.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.
29 O pai de Gabaon morava em Gabaon; sua mulher chamava-se Maaca.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
30 Seu filho mais velho: Abdon; em seguida, Sur, Cis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
31 Gedor, Aio e Zaquer.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
32 Macelot gerou Samaa. Eles habitavam também Jerusalém com seus irmãos.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
33 Ner gerou Cis, Cis gerou Saul, Saul gerou Jônatas, Melquisua, Abinadab e Esbaal.
34 Yonathani akamzaa:
34 Filho de Jônatas: Meribaal. Meribaal gerou Mica.
35 Wana wa Mika walikuwa:
35 Filhos de Mica: Fiton, Melec, Taraa e Acaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
36 Acaz gerou Joada, Joada gerou Alamot, Azmot e Zamri. Zamri gerou Mosa.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
37 Mosa gerou Banaa, Rafa, seu filho, Elasa, seu filho, Asel, seu filho.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:
38 Asel teve seis filhos, cujos nomes são: Esricão, Bocru, Ismael, Saria, Obdias e Hanã, todos filhos de Asel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:
39 Filhos de Esec, seu irmão: Ulão, seu filho mais velho, Jeús, o segundo, e Elifalet, o terceiro.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.
40 Os filhos de Ulão eram homens valentes, bons arqueiros; tiveram numerosos filhos e netos: cento e cinqüenta. Todos esses são descendentes de Benjamim.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar 1 Crônicas 8, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.