Salmos 74

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Ee Mungu, mbona umetukataa milele?

2 Kumbuka watu uliowanunua zamani,

3 Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu,

4 Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi,

5 Walifanya kama watu wanaotumia mashoka

6 Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa

7 Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu,

8 Walisema mioyoni mwao,

9 Hatukupewa ishara za miujiza;

10 Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini?

11 Kwa nini unazuia mkono wako,

12 Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani,

13 Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako;

14 Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani

15 Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito,

16 Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia,

17 Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia,

18 Ee Bwana, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,

19 Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu;

20 Likumbuke agano lako,

21 Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu;

22 Inuka, Ee Mungu, ujitetee;

23 Usipuuze makelele ya watesi wako,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 74, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.