Números 33
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs VC
1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
1 Eis as etapas que fizeram os israelitas desde a sua partida do Egito em tropas organizadas sob as ordens de Moisés e Aarão.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
2 Moisés, por ordem do Senhor, tomou nota de suas marchas por etapas. São as seguintes essas marchas em etapas:
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
3 No décimo quinto dia do primeiro mês partiram de Ramsés. Isso foi no dia seguinte à Páscoa; partiram com a mão levantada, à vista de todos os egípcios
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
4 que estavam enterrando aqueles que o Senhor tinha ferido dentre eles, todos os seus primogênitos. Também contra os seus deuses o Senhor tinha exercido o seu juízo.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
5 Partidos de Ramsés, os israelitas se detiveram em Socot,
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
6 de onde partiram, indo acampar em Etão, situado na extremidade do deserto.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
7 Dali, voltaram a Fi-Hairot, defronte de Beelsefon, e acamparam diante de Magdalum.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
8 Deixando Fi-Hairot, passaram pelo meio do mar para o deserto. Após três dias de marcha na solidão de Etão, detiveram-se em Mara.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
9 Partindo de Mara, ganharam Elim, onde havia doze fontes e setenta palmeiras; e acamparam ali.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
10 Saindo de Elim, foram acampar junto do mar Vermelho,
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
11 de onde partiram e acamparam no deserto de Sin.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
12 Tendo partido do deserto de Sin, acamparam em Dafca,
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
13 de onde foram para Alus.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
14 Dali, partiram e acamparam em Rafidim, onde o povo não encontrou água para beber.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
15 Partidos de Rafidim, acamparam no deserto do Sinai.
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
16 Saindo do deserto do Sinai, foram acampar em Kibrot-Hataava,
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
17 de onde foram acampar em Haserot.
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
18 De lá, acamparam em Retma.
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
19 De Retma foram a Remonfarés.
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
20 De Remonfarés a Lebna.
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
21 De Lebna a Ressa.
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
22 De Ressa a Ceelata.
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
23 Deixaram Ceelata e acamparam no monte Sefer.
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
24 Dali foram acampar em Arada.
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
25 De lá a Macelot.
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
26 Dali a Taat.
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
27 De Taat a Taré.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
28 De Taré a Metca.
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
29 De Metca a Hesmona.
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
30 De Hesmona foram acampar em Moserot.
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
31 De Moserot a Benê-Jacã.
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
32 Dali a Hor-Guidgad.
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
33 Dali a Jotebata.
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
34 Dali a Abrona.
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
35 De lá a Asiongaber.
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
36 foram acampar no deserto de Sin, isto é, em Cades.
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
37 Deixando Cades, acamparam no monte Hor, na extremidade da terra de Edom.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
38 O sacerdote Aarão subiu por ordem do Senhor ao monte Hor, e ali morreu, no quadragésimo ano do êxodo dos israelitas do Egito, no primeiro dia do quinto mês.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
39 Aarão tinha cento e vinte e três anos quando expirou no monte Hor.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
40 Foi então que o rei cananeu de Arad, que habitava no Negeb, na terra de Canaã, soube da chegada dos israelitas.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
41 a Deixando o monte Hor, acamparam em Salmona.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
42 De Salmona foram acampar em Funon.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
43 De Funon foram a Obot.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
44 De Obot, detiveram-se em Ijé-Abarim, na fronteira de Moab.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
45 Dali foram acampar em Dibon-Gad.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
46 Dali a Almon-Diblataim.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
47 Dali aos montes Abarim, em frente ao Nebo.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
48 Partiram dos montes Abarim e foram acampar nas planícies de Moab, junto do Jordão, defronte de Jericó.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
49 Seu acampamento nas planícies de Moab, perto do Jordão, ia desde Betsimot até Abel-Setim.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
50 O Senhor disse a Moisés, nas planícies de Moab, junto do Jordão, defronte de Jericó:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
51 "Dize aos israelitas: quando tiverdes passado o Jordão e entrado na terra de Canaã,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
52 expulsareis de diante de vós todos os habitantes da terra, destruireis todas as suas pedras esculpidas, todas as suas estátuas fundidas e devastareis todos os seus lugares altos.
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
53 Tomareis posse da terra e habitá-la-eis, porque eu vo-la dou.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
54 Reparti-la-eis entre vossas famílias por sorte: aos que forem mais numerosos, uma porção maior, e uma menor, aos que forem menos. Cada um possuirá o que lhe couber por sorte. Fareis essa repartição segundo vossas tribos patriarcais.
55 “ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
55 Se vós, porém, não expulsardes de diante de vós os habitantes da terra, os que ficarem serão para vós como espinhos nos olhos e aguilhões nos flancos, e vos perseguirão na terra onde habitardes.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”
56 E tudo o que eu tinha pensado fazer a eles, o farei a vós."
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Números 33, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.