Números 33
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NTLH
1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
1 São estas as caminhadas dos israelitas que saíram do Egito, grupo por grupo, debaixo das ordens de Moisés e Arão.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
2 Moisés ia anotando os nomes dos lugares de onde partiam, de acordo com as ordens de Deus, o Senhor . E são estas as caminhadas conforme os lugares de partida:
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
3 O povo de Israel saiu do Egito no dia quinze do primeiro mês do ano, um dia depois da primeira Páscoa . Eles saíram de Ramessés de maneira vitoriosa, e todos os egípcios os viram.
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
4 Os egípcios estavam sepultando os seus primeiros filhos que o Senhor havia matado. Assim, o Senhor mostrou que era mais poderoso do que os deuses do Egito.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
5 Depois de saírem de Ramessés, os israelitas acamparam em Sucote.
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
6 Saíram de Sucote e acamparam em Etã, que está na beira do deserto.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
7 Saíram de Etã e voltaram a Pi-Hairote, que fica a leste de Baal-Zefom, e acamparam perto de Migdol.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
8 Saíram de Pi-Hairote e passaram pelo meio do mar Vermelho e chegaram ao deserto de Sur. Caminharam três dias no deserto e acamparam em Mara.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
9 Dali foram para Elim e acamparam ali. Em Elim havia doze fontes de água e setenta palmeiras.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
10 Saíram de Elim e acamparam perto do golfo de Suez.
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
11 Partiram dali e acamparam no deserto de Sim.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
12 Dali foram até Dofca, onde acamparam.
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
13 Partiram de Dofca e acamparam em Alus.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
14 Depois de Alus, acamparam em Refidim. Porém ali não havia água para o povo beber.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
15 — ausente —
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
16 — ausente —
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
17 — ausente —
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
18 — ausente —
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
19 — ausente —
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
20 — ausente —
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
21 — ausente —
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
22 — ausente —
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
23 — ausente —
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
24 — ausente —
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
25 — ausente —
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
26 — ausente —
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
27 — ausente —
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
28 — ausente —
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
29 — ausente —
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
30 — ausente —
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
31 — ausente —
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
32 — ausente —
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
33 — ausente —
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
34 — ausente —
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
35 — ausente —
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
36 — ausente —
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
37 — ausente —
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
38 Por ordem de Deus, o Senhor , o sacerdote Arão subiu o monte Hor. E morreu ali, no dia primeiro do quinto mês, quarenta anos depois que os israelitas tinham saído do Egito.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
39 Arão tinha cento e vinte e três anos de idade quando morreu.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
40 Então o rei cananeu de Arade, que morava na região sul da terra de Canaã, soube que os israelitas estavam chegando.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
41 — ausente —
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
42 — ausente —
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
43 — ausente —
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
44 — ausente —
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
45 — ausente —
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
46 — ausente —
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
47 — ausente —
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
48 — ausente —
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
49 — ausente —
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
50 Nas planícies de Moabe, junto ao rio Jordão, na altura de Jericó, que ficava no outro lado do rio, o Senhor mandou que Moisés desse
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
51 aos israelitas as seguintes ordens: — Quando vocês atravessarem o rio Jordão e entrarem na terra de Canaã,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
52 expulsem todos os moradores daquela terra. Destruam todos os seus ídolos de metal e de pedra e todos os seus lugares de adoração.
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
53 Tomem posse da terra e morem nela porque eu a estou dando a vocês.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
54 Repartam a terra, por sorteio , entre as tribos e os grupos de famílias. Aos grupos de famílias mais numerosos deem uma parte maior; e aos grupos menos numerosos deem uma parte menor.
55 “ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
55 Porém, se vocês não expulsarem os moradores do país, os que ficarem serão para vocês como espinhos nos seus olhos e como ferrões nas suas costas e trarão problemas para vocês na terra em que vocês morarem.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”
56 E farei com vocês tudo o que eu havia pensado fazer com eles.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Números 33, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.