Números 33
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NVT
1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
1 Este é o percurso que os israelitas fizeram quando saíram do Egito, organizados segundo suas divisões, sob a liderança de Moisés e Arão.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
2 Por ordem do S enhor , Moisés guardou um registro escrito de seu progresso. Estas são as etapas da jornada, identificadas pelos lugares onde pararam ao longo do caminho.
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
3 Os israelitas partiram da cidade de Ramessés no décimo quinto dia do primeiro mês, na manhã seguinte à primeira celebração da Páscoa. Partiram triunfantemente, à vista de todos os egípcios.
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
4 Enquanto isso, os egípcios sepultavam o filho mais velho de suas famílias que o S enhor havia ferido mortalmente na noite anterior. Naquela noite, o S enhor derrotou os deuses do Egito com grandes atos de julgamento.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
5 Depois de partirem de Ramessés, os israelitas acamparam em Sucote.
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
6 Saíram de Sucote e acamparam em Etã, à beira do deserto.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
7 Saíram de Etã e voltaram para Pi-Hairote, de frente para Baal-Zefom, e acamparam perto de Migdol.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
8 Saíram de Pi-Hairote, atravessaram o mar Vermelho e chegaram ao deserto. Viajaram três dias pelo deserto de Etã e acamparam em Mara.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
9 Saíram de Mara e acamparam em Elim, onde havia doze fontes de água e setenta palmeiras.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
10 Saíram de Elim e acamparam junto ao mar Vermelho.
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
11 Saíram do mar Vermelho e acamparam no deserto de Sim.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
12 Saíram do deserto de Sim e acamparam em Dofca.
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
13 Saíram de Dofca e acamparam em Alus.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
14 Saíram de Alus e acamparam em Refidim, onde não havia água para o povo beber.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
15 Saíram de Refidim e acamparam no deserto do Sinai.
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
16 Saíram do deserto do Sinai e acamparam em Quibrote-Hataavá.
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
17 Saíram de Quibrote-Hataavá e acamparam em Hazerote.
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
18 Saíram de Hazerote e acamparam em Ritmá.
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
19 Saíram de Ritmá e acamparam em Rimom-Perez.
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
20 Saíram de Rimom-Perez e acamparam em Libna.
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
21 Saíram de Libna e acamparam em Rissa.
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
22 Saíram de Rissa e acamparam em Queelata.
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
23 Saíram de Queelata e acamparam no monte Séfer.
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
24 Saíram do monte Séfer e acamparam em Harada.
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
25 Saíram de Harada e acamparam em Maquelote.
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
26 Saíram de Maquelote e acamparam em Taate.
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
27 Saíram de Taate e acamparam em Terá.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
28 Saíram de Terá e acamparam em Mitca.
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
29 Saíram de Mitca e acamparam em Hasmona.
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
30 Saíram de Hasmona e acamparam em Moserote.
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
31 Saíram de Moserote e acamparam em Bene-Jaacã.
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
32 Saíram de Bene-Jaacã e acamparam em Hor-Gidgade.
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
33 Saíram de Hor-Gidgade e acamparam em Jotbatá.
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
34 Saíram de Jotbatá e acamparam em Abrona.
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
35 Saíram de Abrona e acamparam em Eziom-Geber.
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
36 Saíram de Eziom-Geber e acamparam em Cades, no deserto de Zim.
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
37 Saíram de Cades e acamparam no monte Hor, na fronteira de Edom.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
38 Enquanto estavam ao pé do monte Hor, por ordem do S enhor o sacerdote Arão subiu ao monte e morreu ali. Isso aconteceu no primeiro dia do quinto mês, quarenta anos depois que Israel saiu do Egito.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
39 Arão tinha 123 anos quando morreu no monte Hor.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
40 O rei cananeu de Arade, que vivia no Neguebe, na terra de Canaã, soube que os israelitas se aproximavam de sua terra.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
41 Saíram do monte Hor e acamparam em Zalmona.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
42 Saíram de Zalmona e acamparam em Punom.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
43 Saíram de Punom e acamparam em Obote.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
44 Saíram de Obote e acamparam em Ijé-Abarim, na fronteira de Moabe.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
45 Saíram de Ijé-Abarim e acamparam em Dibom-Gade.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
46 Saíram de Dibom-Gade e acamparam em Almom-Diblataim.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
47 Saíram de Almom-Diblataim e acamparam nos montes de Abarim, perto do monte Nebo.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
48 Saíram dos montes de Abarim e acamparam nas campinas de Moabe, junto ao rio Jordão, do lado oposto de Jericó.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
49 Junto ao rio Jordão, acamparam desde Bete-Jesimote até Abel-Sitim nas campinas de Moabe.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
50 Enquanto estavam acampados perto do rio Jordão, nas campinas de Moabe, do lado oposto de Jericó, o S enhor disse a Moisés:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
51 “Dê as seguintes instruções ao povo de Israel. Quando atravessarem o rio Jordão para entrar na terra de Canaã,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
52 expulsem todos os povos que vivem ali. Destruam todas as imagens esculpidas ou fundidas e derrubem todos os santuários idólatras.
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
53 Tomem posse da terra e estabeleçam-se nela, pois eu lhes dei a terra para a ocuparem.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
54 Distribuam a terra entre os clãs por sorteio e de forma proporcional ao tamanho de cada clã. Os clãs maiores receberão uma porção maior, e os clãs menores, uma porção menor. A decisão por sorteio é definitiva. Assim, as porções de terra serão distribuídas entre as tribos de seus antepassados.
55 “ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
55 Mas, se vocês não expulsarem os povos que vivem na terra, aqueles que restarem serão como farpas em seus olhos e espinhos em suas costas. Serão um tormento para vocês na terra em que habitarem.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”
56 E eu farei a vocês aquilo que planejava fazer a eles”.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Números 33, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.