Jó 17

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Moyo wangu umevunjika,

2 Hakika wenye mizaha wamenizunguka;

3 “Ee Mungu, nipe dhamana unayodai.

4 Umezifunga akili zao zisipate ufahamu,

5 Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira,

6 “Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu,

7 Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi;

8 Watu wanyofu wanatishwa na hili;

9 Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao,

10 “Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena!

11 Siku zangu zimepita, mipango yangu imevunjika,

12 Watu hawa hufanya usiku kuwa mchana,

13 Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi,

14 kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’

15 liko wapi basi tarajio langu?

16 Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Jó 17, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.