Salmos 56

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;

2 Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,

3 Wakati ninapoogopa,

4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

5 Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,

6 Wananifanyia hila, wanajificha,

7 Wasiepuke kwa vyovyote,

8 Andika maombolezo yangu,

9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma

10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.

12 Ee Mungu, nina nadhiri kwako,

13 Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 56, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.