1 Samuel 27
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NAA
1 Daudi akasema moyoni mwake, “Katika mojawapo ya siku hizi nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli. Jambo lililo bora ni kutorokea kwenye nchi ya Wafilisti. Hivyo Sauli atakata tamaa ya kunisaka popote katika Israeli, nami nitakuwa nimeponyoka mkononi mwake.”
1 Davi disse consigo mesmo: — Pode ser que algum dia eu venha a perecer nas mãos de Saul. Portanto, não há nada melhor para mim do que fugir para a terra dos filisteus. Isto para que Saul perca de todo as esperanças e deixe de me procurar em toda a terra de Israel; assim, me livrarei das mãos dele.
2 Hivyo Daudi akaondoka na hao watu mia sita waliokuwa pamoja naye na kwenda kwa Akishi mwana wa Maoki mfalme wa Gathi.
2 Davi se levantou e, com os seiscentos homens que estavam com ele, foi até Aquis, filho de Maoque, rei de Gate.
3 Daudi na watu wake wakakaa huko Gathi pamoja na Akishi. Kila mtu alikuwa pamoja na jamaa yake, naye Daudi pamoja na wakeze wawili: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
3 Davi ficou morando com Aquis, na cidade de Gate, ele e os seus homens, cada um com a sua família. Davi foi com as suas duas mulheres: Ainoã, a jezreelita, e Abigail, a viúva de Nabal, o carmelita.
4 Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.
4 Quando Saul foi avisado de que Davi tinha fugido para Gate, desistiu de o perseguir.
5 Ndipo Daudi akamwambia Akishi, “Kama nimepata kibali machoni pako, unipe sehemu katika mojawapo ya miji katika nchi nikae huko. Kwa nini mtumwa wako akae pamoja nawe katika mji huu wa kifalme?”
5 Davi disse a Aquis: — Se encontrei favor em sua presença, dê-me um lugar numa das cidades do interior, para que eu more ali. Por que este seu servo ficaria morando com você na cidade real?
6 Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi mji wa Siklagi, nao Siklagi umekuwa mali ya wafalme wa Yuda tangu wakati huo.
6 Então, naquele dia, Aquis deu a Davi a cidade de Ziclague. Por isso, Ziclague pertence aos reis de Judá até o dia de hoje.
7 Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.
7 E todo o tempo que Davi permaneceu na terra dos filisteus foi um ano e quatro meses.
8 Basi Daudi na watu wake wakapanda na kuwashambulia Wageshuri, Wagirizi na Waamaleki. (Tangu zamani haya mataifa yalikuwa yameishi kwenye eneo lililotanda kuanzia Telemu katika njia iteremkayo Shuri hadi kufikia nchi ya Misri.)
8 Davi ia com os seus homens, e eles atacavam os gesuritas, os gersitas e os amalequitas, porque estes eram os moradores da terra desde Telã, na direção de Sur, até a terra do Egito.
9 Kila mara Daudi aliposhambulia eneo, hakubakiza hai mwanaume wala mwanamke, lakini alichukua kondoo na ngʼombe, punda na ngamia, na nguo. Kisha akarudi kwa Akishi.
9 Quando Davi atacava aquela terra, não deixava com vida nem homem nem mulher, e tomava as ovelhas, os bois, os jumentos, os camelos e as roupas. Então voltava e vinha para junto de Aquis.
10 Akishi alipomuuliza, “Je leo umeshambulia wapi?” Daudi humjibu, “Dhidi ya Negebu ya Yuda,” au wakati mwingine husema, “Dhidi ya Negebu ya Yerameeli,” au “Dhidi ya Negebu ya Wakeni.”
10 Quando Aquis perguntava: “Quem foi que você atacou hoje?”, Davi respondia: “Ataquei o Sul de Judá, o Sul dos jerameelitas, e o Sul dos queneus.”
11 Daudi hakumwacha hai mwanaume au mwanamke ili apate kuletwa Gathi, kwa maana Daudi aliwaza, “Wanaweza kujulisha habari zetu na kusema, ‘Hivi ndivyo alivyofanya Daudi.’ ” Hii ndiyo ilikuwa desturi yake wakati wote aliishi katika nchi ya Wafilisti.
11 Davi não deixava com vida nem homem nem mulher, para os trazer a Gate, pois dizia: “Para que não nos denunciem, dizendo: ‘É assim que Davi fazia.’” Este era o seu modo de agir durante todo o tempo em que morou na terra dos filisteus.
12 Akishi akamsadiki Daudi na kuwaza moyoni mwake, akasema, “Daudi amekuwa kitu cha kuchukiza kabisa kwa watu wake, Waisraeli, hivi kwamba atakuwa mtumishi wangu milele.”
12 Aquis confiava em Davi, dizendo: — Ele levou o seu povo de Israel a odiá-lo de verdade, e por isso será meu servo para sempre.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar 1 Samuel 27, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.