1 Samuel 27
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs BKJ
1 Daudi akasema moyoni mwake, “Katika mojawapo ya siku hizi nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli. Jambo lililo bora ni kutorokea kwenye nchi ya Wafilisti. Hivyo Sauli atakata tamaa ya kunisaka popote katika Israeli, nami nitakuwa nimeponyoka mkononi mwake.”
1 E Davi disse no seu coração: Agora, hei de perecer, um dia, pela mão de Saul; não há nada melhor para mim do que fugir rapidamente para a terra dos filisteus; e Saul perderá a sua esperança sobre mim, de continuar a me buscar em todos os termos de Israel; assim escaparei da sua mão.
2 Hivyo Daudi akaondoka na hao watu mia sita waliokuwa pamoja naye na kwenda kwa Akishi mwana wa Maoki mfalme wa Gathi.
2 E Davi se levantou, e ele atravessou com os seiscentos homens que estavam com ele para Aquis, o filho de Maoque, rei de Gate.
3 Daudi na watu wake wakakaa huko Gathi pamoja na Akishi. Kila mtu alikuwa pamoja na jamaa yake, naye Daudi pamoja na wakeze wawili: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
3 E Davi habitou com Aquis em Gate, ele e os seus homens, cada homem com a sua família; Davi com as suas duas esposas: Ainoã, a jezreelita; e Abigail, a carmelita, esposa de Nabal.
4 Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.
4 E Saul foi informado que Davi havia fugido para Gate; e não o buscou novamente.
5 Ndipo Daudi akamwambia Akishi, “Kama nimepata kibali machoni pako, unipe sehemu katika mojawapo ya miji katika nchi nikae huko. Kwa nini mtumwa wako akae pamoja nawe katika mji huu wa kifalme?”
5 E Davi disse a Aquis: Se agora encontrei graça em teus olhos, permite que me deem um lugar em alguma cidade do país, para que eu possa lá habitar; pois por que o teu servo deveria habitar contigo na cidade real?
6 Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi mji wa Siklagi, nao Siklagi umekuwa mali ya wafalme wa Yuda tangu wakati huo.
6 Então Aquis lhe deu Ziclague naquele dia; pelo que Ziclague pertence aos reis de Judá até este dia.
7 Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.
7 E o tempo em que Davi habitou na região dos filisteus foi de um ano completo e quatro meses.
8 Basi Daudi na watu wake wakapanda na kuwashambulia Wageshuri, Wagirizi na Waamaleki. (Tangu zamani haya mataifa yalikuwa yameishi kwenye eneo lililotanda kuanzia Telemu katika njia iteremkayo Shuri hadi kufikia nchi ya Misri.)
8 E Davi e os seus homens subiram, e invadiram os gesuritas, e os gersitas, e os amalequitas; pois estas nações eram há muito tempo os habitantes da terra, como quem vai para Sur até a terra do Egito.
9 Kila mara Daudi aliposhambulia eneo, hakubakiza hai mwanaume wala mwanamke, lakini alichukua kondoo na ngʼombe, punda na ngamia, na nguo. Kisha akarudi kwa Akishi.
9 E Davi feriu a terra, e não deixou nem homem nem mulher vivos, e tomou as ovelhas, e os bois, e os jumentos, e os camelos, e a indumentária, e retornou, e veio para Aquis.
10 Akishi alipomuuliza, “Je leo umeshambulia wapi?” Daudi humjibu, “Dhidi ya Negebu ya Yuda,” au wakati mwingine husema, “Dhidi ya Negebu ya Yerameeli,” au “Dhidi ya Negebu ya Wakeni.”
10 E Aquis disse: Para onde fizeste uma estrada hoje? E Davi disse: Contra o sul de Judá, e contra o sul dos jerameelitas, e contra o sul dos queneus.
11 Daudi hakumwacha hai mwanaume au mwanamke ili apate kuletwa Gathi, kwa maana Daudi aliwaza, “Wanaweza kujulisha habari zetu na kusema, ‘Hivi ndivyo alivyofanya Daudi.’ ” Hii ndiyo ilikuwa desturi yake wakati wote aliishi katika nchi ya Wafilisti.
11 E Davi não deixou nem homem, nem mulher vivos, para trazer notícias a Gate, dizendo: Para que não nos denunciem, dizendo: Assim fez Davi, e assim será o seu procedimento durante todo o tempo em que habitar na região dos filisteus.
12 Akishi akamsadiki Daudi na kuwaza moyoni mwake, akasema, “Daudi amekuwa kitu cha kuchukiza kabisa kwa watu wake, Waisraeli, hivi kwamba atakuwa mtumishi wangu milele.”
12 E Aquis acreditou em Davi, dizendo: Ele fez com que o seu povo, Israel, o abominasse por completo; portanto será meu servo para sempre.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar 1 Samuel 27, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.