Salmos 41

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

2 Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

3 Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,

4 Nilisema, “Ee Bwana nihurumie,

5 Adui zangu wanasema kwa hila,

6 Kila anapokuja mtu kunitazama,

7 Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,

8 “Ugonjwa mbaya sana umempata,

9 Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,

10 Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie,

11 Najua kwamba wapendezwa nami,

12 Katika uadilifu wangu unanitegemeza

13 Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 41, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.