Salmos 30

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,

2 Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie

3 Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,

4 Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake;

5 Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,

6 Nilipofanikiwa nilisema,

7 Ee Bwana, uliponijalia,

8 Kwako wewe, Ee Bwana, niliita,

9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?

10 Ee Bwana, unisikie na kunihurumia,

11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,

12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 30, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.