Salmos 26

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Ee Bwana, nithibitishe katika haki,

2 Ee Bwana, unijaribu, unipime,

3 kwa maana upendo wako

4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu,

5 ninachukia kusanyiko la watenda mabaya

6 Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,

7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,

8 Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,

9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,

10 ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,

11 Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;

12 Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 26, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.