1 Ee Bwana, nithibitishe katika haki,
2 Ee Bwana, unijaribu, unipime,
3 kwa maana upendo wako
4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
5 ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
6 Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
8 Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,
9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,
10 ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,
11 Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;
12 Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;