Números 28
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NTLH
1 Bwana akamwambia Mose,
1 O Senhor Deus disse a Moisés:
2 “Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
2 — Mande que os israelitas tragam para mim, no tempo certo, as ofertas de alimento que têm um cheiro que me agrada.
3 Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
3 — São estas as ofertas de alimento que devem ser apresentadas todos os dias e para sempre: dois carneirinhos de um ano, sem defeito.
4 Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
4 Um deles será oferecido de manhã, e o outro, à tarde.
5 kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
5 Junto com cada carneirinho, será oferecido um quilo da melhor farinha de trigo misturada com um litro de azeite.
6 Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
6 Esse sacrifício será completamente queimado e deverá ser oferecido todos os dias. É uma oferta de alimento, de cheiro agradável a Deus, o Senhor , que foi apresentada pela primeira vez no monte Sinai.
7 Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
7 Junto com cada carneirinho, será oferecido um litro de vinho. Esse vinho deverá ser derramado no Lugar Santo , em honra do Senhor .
8 Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
8 À tarde será oferecido o outro carneirinho, e, junto com ele, a mesma quantidade de farinha, azeite e vinho, como de manhã. Essa é uma oferta de alimento trazida para mim, o Senhor , e o seu cheiro me agrada.
9 “ ‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
9 — No sábado serão oferecidos dois carneirinhos de um ano, sem defeito, junto com dois quilos da melhor farinha misturada com azeite, como oferta de cereais, e também uma oferta de vinho.
10 Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
10 Essa oferta completamente queimada será oferecida todo sábado, além da oferta que é completamente queimada todos os dias e entregue junto com a oferta de vinho que a acompanha.
11 “ ‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
11 — No princípio de cada mês deem a mim, o Senhor , uma oferta que será completamente queimada. Essa oferta será de dois touros novos, um carneiro e sete carneirinhos de um ano, todos sem defeito.
12 Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
12 Com cada touro novo, ofereçam três quilos da melhor farinha misturada com azeite. Com cada carneiro, ofereçam dois quilos de farinha misturada com azeite
13 pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
13 e, com cada carneirinho, um quilo. Essas ofertas completamente queimadas são ofertas de alimento e têm um cheiro agradável a mim, o Senhor .
14 Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
14 A oferta de vinho é assim: dois litros de vinho com cada touro novo, um litro e meio com cada carneiro e um litro com cada carneirinho. São essas as ofertas que serão completamente queimadas no dia primeiro de cada mês, durante o ano inteiro.
15 Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
15 Além do sacrifício que é completamente queimado e que é oferecido todos os dias e além da oferta de vinho, ofereçam também ao Senhor um bode, para tirar os pecados do povo.
16 “ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
16 — A Festa da Páscoa , comemorada em honra do Senhor Deus cai no dia catorze do primeiro mês.
17 Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
17 No dia quinze desse mês haverá festa. Durante sete dias vocês comerão pães feitos sem fermento.
18 Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
18 No primeiro dia dessa festa ninguém trabalhará; todos se reunirão para adorar a Deus.
19 Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
19 Ofereçam ao Senhor um sacrifício que será completamente queimado, como oferta de alimento. Essa oferta será de dois touros novos, um carneiro e sete carneirinhos de um ano, todos sem defeito.
20 Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
20 Com cada touro novo, ofereçam três quilos da melhor farinha misturada com azeite. Com cada carneiro, ofereçam dois quilos de farinha misturada com azeite
21 pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
21 e, com cada carneirinho, um quilo.
22 Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
22 Ofereçam também a Deus um bode como sacrifício para tirar os pecados do povo.
23 Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
23 Vocês oferecerão essas coisas, além do sacrifício que é completamente queimado todas as manhãs.
24 Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
24 Assim, vocês oferecerão ao Senhor cada dia, durante sete dias, uma oferta de alimento que tem cheiro agradável a ele. Ofereçam isso, além do sacrifício que é completamente queimado todos os dias e além da oferta de vinho.
25 Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
25 No sétimo dia vocês se reunirão para adorar a Deus, e ninguém trabalhará.
26 “ ‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
26 — Vocês terão outra festa, chamada “ Festa da Colheita ” ou “Festa das Semanas”. No primeiro dia dessa festa, quando oferecerem a Deus, o Senhor , a nova colheita de cereais, vocês se reunirão para o adorar, e ninguém trabalhará.
27 Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
27 Ofereçam ao Senhor um sacrifício que será completamente queimado, que tem um cheiro agradável a ele. Esse sacrifício será de dois touros novos, um carneiro e sete carneirinhos de um ano, todos sem defeito.
28 Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
28 Com cada touro novo, ofereçam três quilos da melhor farinha misturada com azeite. Com cada carneiro, ofereçam dois quilos de farinha misturada com azeite
29 na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
29 e, com cada carneirinho, um quilo.
30 Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
30 Tragam também um bode como sacrifício para tirar os pecados do povo.
31 Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.
31 Tragam isso e também a oferta de vinho, o sacrifício que é completamente queimado todos os dias e a oferta de cereais.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Números 28, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.