Mateus 22
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs VC
1 Yesu akasema nao tena kwa mifano, akawaambia,
1 Jesus tornou a falar-lhes por meio de parábolas:
2 “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.
2 The kingdom of the heavens has become like a king who made a wedding feast for his son,
3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja.
3 and sent his bondmen to call the persons invited to the wedding feast, and they would not come.
4 “Kisha akawatuma watumishi wengine akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa kwamba nimeandaa chakula. Nimekwisha kuchinja mafahali wangu na vinono, karamu iko tayari. Karibuni kwa karamu ya arusi.’
4 Again he sent other bondmen, saying, Say to the persons invited, Behold, I have prepared my dinner; my oxen and my fatted beasts are killed, and all things ready; come to the wedding feast.
5 “Lakini hawakuzingatia, wakaenda zao: huyu shambani mwake na mwingine kwenye biashara zake.
5 But they made light of it, and went, one to his own land, and another to his commerce.
6 Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.
6 And the rest, laying hold of his bondmen, ill-treated and slew {them}.
7 Yule mfalme akakasirika sana, akapeleka jeshi lake likawaangamiza wale wauaji na kuuteketeza mji wao kwa moto.
7 And {when} the king {heard of it he} was wroth, and having sent his forces, destroyed those murderers and burned their city.
8 “Kisha akawaambia watumishi wake, ‘Karamu ya arusi imeshakuwa tayari, lakini wale niliowaalika hawakustahili kuja.
8 Then he says to his bondmen, The wedding feast is ready, but those invited were not worthy;
9 Kwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’
9 go therefore into the thoroughfares of the highways, and as many as ye shall find invite to the wedding feast.
10 Wale watumishi wakaenda barabarani, wakawakusanya watu wote waliowaona, wema na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.
10 And those bondmen went out into the highways, and brought together all as many as they found, both evil and good; and the wedding feast was furnished with guests.
11 “Lakini mfalme alipoingia ndani ili kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi.
11 And the king, having gone in to see the guests, beheld there a man not clothed with a wedding garment.
12 Mfalme akamuuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema.
12 And he says to him, {My} friend, how camest thou in here not having on a wedding garment? But he was speechless.
13 “Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu mkamtupe nje, kwenye giza. Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.’
13 Then said the king to the servants, Bind him feet and hands, and take him away, and cast him out into the outer darkness: there shall be the weeping and the gnashing of teeth.
14 “Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”
14 For many are called ones, but few chosen ones.
15 Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Yesu katika maneno yake.
15 — ausente —
16 Wakatuma wanafunzi wao kwake pamoja na Maherode. Nao wakasema, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwadilifu na unafundisha njia ya Mungu katika kweli bila kuyumbishwa na mtu wala kuonyesha upendeleo.
16 And they send out to him their disciples with the Herodians, saying, Teacher, we know that thou art true and teachest the way of God in truth, and carest not for any one, for thou regardest not men's person;
17 Tuambie basi, wewe unaonaje? Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
17 tell us therefore what thou thinkest: Is it lawful to give tribute to Caesar, or not?
18 Lakini Yesu, akijua makusudi yao mabaya, akawaambia, “Enyi wanafiki, kwa nini mnajaribu kunitega?
18 But Jesus, knowing their wickedness, said, Why tempt ye me, hypocrites?
19 Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.
19 Shew me the money of the tribute. And they presented to him a denarius.
20 Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?”
20 And he says to them, Whose {is} this image and superscription?
21 Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.”
21 They say to him, Caesar's. Then he says to them, Pay then what is Caesar's to Caesar, and what is God's to God.
22 Waliposikia hili, wakashangaa. Hivyo wakamwacha, wakaenda zao.
22 And when they heard {him}, they wondered, and left him, and went away.
23 Siku hiyo hiyo Masadukayo, wale wasemao kwamba hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Yesu na kumuuliza swali, wakisema,
23 — ausente —
24 “Mwalimu, Mose alisema, ‘Kama mtu akifa bila kuwa na watoto, ndugu yake inampasa amwoe huyo mjane ili ampatie watoto huyo nduguye aliyekufa.’
24 saying, Teacher, Moses said, If any one die, not having children, his brother shall marry his wife and shall raise up seed to his brother.
25 Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane.
25 Now there were with us seven brethren; and the first having married died, and not having seed, left his wife to his brother.
26 Ikatokea vivyo hivyo kwa yule ndugu wa pili, na wa tatu, hadi wote saba.
26 In like manner also the second and the third, unto the seven.
27 Hatimaye, yule mwanamke naye akafa.
27 And last of all the woman also died.
28 Sasa basi, siku ya ufufuo, yeye atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale ndugu saba, kwa kuwa wote walikuwa wamemwoa huyo mwanamke?”
28 In the resurrection therefore of which of the seven shall she be wife, for all had her?
29 Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu hamjui Maandiko wala uweza wa Mungu.
29 And Jesus answering said to them, Ye err, not knowing the scriptures nor the power of God.
30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
30 For in the resurrection they neither marry nor are given in marriage, but are as angels of God in heaven.
31 Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia, kwamba,
31 Quanto à ressurreição dos mortos, não lestes o que Deus vos disse:
32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo’? Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai.”
32 Eu sou o Deus de Abraão, o Deus de Isaac e o Deus de Jacó {Ex 3,6}? Ora, ele não é Deus dos mortos, mas Deus dos vivos.
33 Ule umati wa watu uliposikia hayo, ulishangaa sana kwa mafundisho yake.
33 E, ouvindo esta doutrina, as turbas se enchiam de grande admiração.
34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja.
34 Sabendo os fariseus que Jesus reduzira ao silêncio os saduceus, reuniram-se
35 Mmoja wao, mtaalamu wa sheria, akamuuliza swali ili kumjaribu, akisema,
35 e um deles, doutor da lei, fez-lhe esta pergunta para pô-lo à prova:
36 “Mwalimu, ni amri ipi katika Sheria iliyo kuu kuliko zote?”
36 Mestre, qual é o maior mandamento da lei?
37 Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote.’
37 Respondeu Jesus: Amarás o Senhor teu Deus de todo teu coração, de toda tua alma e de todo teu espírito {Dt 6,5}.
38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
38 Este é o maior e o primeiro mandamento.
39 Nayo ya pili ni kama hiyo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’
39 E o segundo, semelhante a este, é: Amarás teu próximo como a ti mesmo {Lv 19,18}.
40 Amri hizi mbili ndizo msingi wa Sheria na Manabii.”
40 Nesses dois mandamentos se resumem toda a lei e os profetas.
41 Wakati Mafarisayo walikuwa wamekusanyika pamoja, Yesu akawauliza,
41 Como os fariseus se agrupassem, Jesus interrogou-os:
42 “Mnaonaje kuhusu Kristo?Yeye ni mwana wa nani?”
42 Que pensais vós de Cristo? De quem é filho? Responderam: De Davi!
43 Akawaambia, “Inakuwaje basi kwamba Daudi, akinena kwa kuongozwa na Roho, anamwita Kristo ‘Bwana’? Kwa maana asema,
43 Como então, prosseguiu Jesus, Davi, falando sob inspiração do Espírito, chama-o Senhor, dizendo:
44 “ ‘\+nd Bwana\+nd* alimwambia Bwana wangu:
44 O Senhor disse a meu Senhor: Senta-te à minha direita, até que eu ponha teus inimigos por escabelo dos teus pés {Sl 109,1}?
45 Kama basi Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ awezaje kuwa mwanawe?”
45 Se, pois, Davi o chama Senhor, como é ele seu filho?
46 Hakuna mtu aliyeweza kumjibu Yesu neno. Tena tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu kumuuliza tena maswali.
46 Ninguém pôde responder-lhe nada. E, depois daquele dia, ninguém mais ousou interrogá-lo.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Mateus 22, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.