Marcos 15
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs AAI
1 Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani, pamoja na wazee, walimu wa sheria na Baraza lote, wakafikia uamuzi. Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kwa Pilato.
1 Maraumanaika, firis ukwarih naatu regaregah ai’in, Ofafar bai’obaiyenayah naatu kaniser etei hiru’ay hiyakitifuw. Imaibo Jesu uman hifatum hibonawiy hin Pilate biyan hitubar.
2 Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?”
2 Pilate Jesu ibatiy eo, “O Jew hai aiwob?” Jesu iya’afut eo, “Bo nati ku’o.”
3 Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.
3 Naatu firis ukwarih Jesu isan baifufuwen maumurih maiyow hibow hitit bowabow kakafin sinaf hirouw hio.
4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”
4 Imih Pilate Jesu ibatiy maiye? “O boro tur ta inao? O baifufuwenayan hiruw te’o kunonowar!”
5 Lakini Yesu hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.
5 Baise Jesu men kok boro tur tao maiye, imih Pilate ana kasiy ra’at men kafaita. Baibin rah ana hub wanawanan tounamatar ma’am ti’i’itin|alt="women see angel inside tomb" src="cn01851B.tif" size="col" loc="Mrk 15.5" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="15.5-6"
6 Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
6 Gawan hai sinaf mar etei Tatar Nowaten hiyuw ana veya sabuw hai kokomaim teo orot menatan dibur ema’am Pilate ebobotait.
7 Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.
7 Nati ana veya orot wabin Barabas i diburamaim ma’am, iti orot i sabuw hai kou’ay ta hibai uruw hirufufur hinan wanawanan orot ta easabun morob.
8 Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.
8 Imih sabuw hai kou’ay hibai naatu hai kok orot menatan mar etei esisinaf na’atube tabotait isan Pilate hifefeyan.
9 Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu Mfalme wa Wayahudi?”
9 Naatu Pilate ibatiyih, “Kwakokok ayu Jew hai aiwob isa anabotait?”
10 Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya wivu.
10 Anayabin Pilate i so’ob firis ukwarih Jesu isan hibibobowen, imih hibai hina umanamaim hiyai.
11 Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.
11 Baise firis ukwarih sabuw tafah fair hiyai hi’o totofarih Jesu efanin Barabas botaitin isan Pilate hifefeyan.
12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
12 Pilate iban maiye sabuw ibatiyih, “Abistan kwakokok ayu iti orot Jew hai aiwob kwarouw kwao isan ana sinaf?”
13 Wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe!”
13 Sabuw hiwow hio, “Ku’onaf!”
14 Pilato akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?”
14 Pilate ibatiyih maiye, “‘‘Bo abistan kakafin sinaf?” Baise sabuw fanah aumetawat hiwow hio, “Ku’onaf!”
15 Pilato, akitaka kuuridhisha ule umati wa watu, akawafungulia Baraba. Naye baada ya kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.
15 Pilate kok kwanekwan mi’itube rou’ay tiyasisirih, imih sabuw isah Barabas diburane botait tit. Naatu Jesu bai misamaim biyan rab tut veyaveyar, imaibo baiyowayah uwih onafin isan hibai hitit.
16 Askari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio Praitorio, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
16 Baiyowayah Jesu hibai gawan ana bar merar imaim hirun, gawan hai bowabow efan gagamin naatu hai ofonah etei’imak hi’af ayuwih.
17 Wakamvalisha Yesu joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.
17 Faifuw namar hibai Jesu hi’osenawain, kokor nukwarin ana kowasamih hififin.
18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
18 Naatu hibusuruf hi’i’iyab ana merar hiyi hio, “Aki erekakaf abobora’ara’ahi Jew hai aiwob!”
19 Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
19 Wabukamaim nukwarin hitut, hikwaitututur, suh hiyowen hikwafir moyamoy.
20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.
20 Hibi’i’iyab ufunamaim, faifuw namar hibosair naatu Jesu ana faifuw hi’us maiye, naatu hibonawiy hitit onafin isan hin.
21 Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, baba yao Aleksanda na Rufo, alikuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shamba, nao wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
21 Hitit hinan efamaim orot wabin Simon Sairini mowan, masaw barene au Jerusalem bar merar nan bairi hitar, Alexander naatu Rufus hairi tamah. Baiyowayah hi’ukikin Jesu ana onaf abarin isan.
22 Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha (maana yake ni Mahali pa Fuvu la Kichwa).
22 Jesu hibai hin efan wabin Golgotha hitit, efan ana’itin i ukwarih ana rarikabe.
23 Nao wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini hakuinywa.
23 Nati’imaim wine naatu harew fokarin ta wabin myrrh auman hisartabir Jesu tomamih hibitin, baise men tom.
24 Basi wakamsulubisha, nazo nguo zake wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura ili kuamua ni gani kila mtu ataichukua.
24 Baiyowayah Jesu hi’onaf, ana faifuw hifaram hibow hima hi’arow saise arowamaim ti’obaiyih, Jesu ana faifuw menatan boro tab.
25 Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi walipomsulubisha.
25 Mar auman veya nine korok na’atube Jesu hi’onaf.
26 Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: “Mfalme wa Wayahudi.”
26 Jesu sinaf kakaf hirouw hio ubar hibitin ana tur ukwarinamaim hikirum hio, “Jew Hai Aiwob.” Tafanamaim hikubar.
27 Pamoja naye walisulubiwa wanyangʼanyi wawili, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto. [
27 Naatu orot kakafih rou’ab auman hi’onafih, ta ana beyawane ta ana asukwafune.
28 Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]”
28 Iti na’atube mamatar i Bukamaim hikikirum na iturobe, i boro bainowah bairi hina’onafih.
29 Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao na kusema, “Aha! Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
29 Sabuw na hinan, ne hinan Jesu hi’i’itin hi’i’iyab nah hita’asi’asiy hio, “Ige aro! O Tafaror Bar tarabounin veya taunu wanawanan wowabin yen irouw i’o’oban iti ku’inu’in?”
30 basi shuka kutoka msalabani na ujiokoe mwenyewe!”
30 Taiyuw kwiyawasi onaf afe’enane kura’iyeban a’itin.
31 Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!
31 Sinaf ta’imon firis ukwarih naatu Ofafar bai’obaiyenayah Jesu hi’i’iyab, taiyuwih hio, “Afa ibiyawasih, baise i taiyuwin boro men niyawas.
32 Basi huyu Kristo, huyu Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale waliosulubiwa pamoja naye pia wakamtukana.
32 Kwabat Rubininenayan ta’itin, Israel sabuw hai aiwob boun onaf afe’enane nare tana’itin,
33 Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
33 Veya yen in tafat yan, basit tafaram tutufin etei gugum in veya three korok bai.
34 Mnamo saa tisa, Yesu akapaza sauti, akalia, \+wj “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”\+wj* (maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”)
34 Veya three korok baib Jesu fanan aumetawat itarakouw rerey eo, “Eloi, Eloi, lema sabaktani” anayabin “Au God Au God, aisimamih ihamiyu?”
35 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Eliya.”
35 Sabuw afa nati’imaim hibatabat hinowar hio, “Kwanowar Elijah isan eafa’af.”
36 Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”
36 Orot ta nunuw in harew sususub tainen bai wine tenakuyakuy butu’ub naatu isik yomaninamaim iyouw, eot ra’ah Jesu susubinamih, baise orot ta eo, “Kwabat! Elijah nan onafane nab nayayare tana’itin!”
37 Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
37 Jesu ibanak maiye fanan aumetawat na’in itarakouw rerey, basit ayubin tabaratait naatu morob.
38 Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.
38 Tafaror Bar wanawanan efan kakafiyin awan faifuw hitenafut in rorore tafantoro’ot taseb re uran tit rou’ab himatar.
39 Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
39 Baiyowayan orot ukwarin nati onaf nanamaim batabat, Jesu mi’itube momorob itin naatu eo, “Turobe iti orot i anababatun God Natun!”
40 Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakiangalia kwa mbali. Miongoni mwao walikuwepo Maria Magdalene, na Maria mama yao Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome.
40 Nati’imaim i baibin afa auman, ef yokaika hibat hinuwanuw. Baibin wanawanahimaim i Mary Magdalin, Mary kek James boubun naatu Joseph hairi hinah naatu Salome.
41 Hawa walifuatana na Yesu na kushughulikia mahitaji yake alipokuwa Galilaya. Pia walikuwepo wanawake wengine wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye Yerusalemu.
41 Iti baibin i Galilee’imaim Jesu hi’ufunun baibais hitin bairi hibowabow i hina. Naatu baibin maumurih maiyow bairi hina Jerusalem hititit i auman nati’imaim hibatabat.
42 Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi, yaani siku moja kabla ya Sabato,
42 Veya re irabirab, naatu nati rabirab i yabunabuna ana veya, anayabin mar natoto i Baiyarir ana veya.
43 Yosefu wa Arimathaya, mtu aliyeheshimiwa katika Baraza, na ambaye alikuwa anautarajia Ufalme wa Mungu, akamwendea Pilato kwa ujasiri na kumwomba mwili wa Yesu.
43 Imih Joseph Arimathea’ane na tit. Iti orot i kaniser ana kou’ay orot ta. God ana aiwob isan ma kakakaf. Joseph Jesu biyan bain isan itafofor na Pilate nanamaim tit ifefeyan.
44 Pilato alikuwa akijiuliza kama Yesu alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Yesu alikuwa amekwisha kufa.
44 Naatu Pilate Jesu momorob ana tur men so’ob, imih baiyowayah ukwarin isan e’af na ibatiy.
45 Baada ya kupata habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya kuuchukua huo mwili.
45 Baiyowayah ukwarin eo nonowar ufunamaim Pilate ibasit Joseph Jesu biyan bain isan.
46 Hivyo Yosefu akanunua kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili kutoka msalabani, akaufunga katika kile kitambaa cha kitani, na kuuweka ndani ya kaburi lililochongwa kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi.
46 Naatu bairahiya ana faifuw bai na Jesu bu’ub yare sum, bai in to naiwanamaim tar inu’in imaim yai, kabay gagamin ifururuw na hub awan hir.
47 Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.
47 Mary Magdalin naatu Mary Joseph hinah hairi Jesu biyan menamaim hiya’iy i hi’itin.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Marcos 15, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.