João 18

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs AAI

Sair da comparação
AAI TUR GEWASIN O BAIBASIT BOUBUN
1 Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo.
1 Jesu yoyoban sasawar ufunamaim ana bai’ufnunenayah bairi efan nati hihamiy hin Kidron Kwaf hirabon. Nati’imaim i masaw ta, imaim Jesu ana bai’ufnunenayah bairi ten tema’am.
2 Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara.
2 Judas yanuwayan menamaim hima’am i so’ob, anayabin Jesu anabai’ufununayah bairi mar etei imaim teruru’ay.
3 Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha.
3 Imih Judas Romans hai baiyowayah hai kou’ay bonawiyih naatu afa i orot ukwa’ukwarih firis ukwarih biyahine hiyafarih hin naatu afa i Pharisee biyahine hin. I umah, ahay waf hibow naatu hinow hitoto’aben kawih hin masaw yan hitit.
4 Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”
4 Jesu abistanawat boro isan hinamamatar i so’ob, imih au nah isutait tit naatu ibatiyih, “Kwa yait kwanunuwih?”
5 Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”
5 Hiya’afut hi’o, “Jesu Nazareth mowan.
6 Yesu alipowaambia, “Mimi ndiye,” walirudi nyuma na kuanguka chini!
6 Anamaramaim Jesu eo, “Ayu i iti. I ou’uf hibat naatu me yan hira’iy rabih.
7 Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?”
7 Ibanak i batiyih maiye, “Kwa i yait kwanunuwih.”
8 Yesu akawaambia, “Nimekwisha kuwaambia kuwa, mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa watu waende zao.”
8 “Ayu kwa ouwi wei, ayu i iti.” Jesu iya’afut. “Ayu kwananunuwuhu na’at, basit au bai’ufununayah kwanihamiyih hinan.”
9 Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”
9 Iti namamatar saise tur abistan hi’o’o i nan niturobe. “Tamaim abistan ibitu, men ta kasiy.”
10 Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.
10 Naatu Simon Peter, i ana kaiy auman batabat, rowenra’ah firis ukwarin ana akir orot tainin asukwafune eafuru’um. Akir orot wabin Malchus.
11 Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?”
11 Jesu Peter isan eo, “A kaiy kwiwan maiye! O kunotanot, Ayu Tamai kerowas bitu boro men anatom”
12 Hivyo wale askari, wakiwa pamoja na majemadari wao na maafisa wa Wayahudi, wakamkamata Yesu na kumfunga.
12 Imaibo Rom rakit wairafih hai ukwarih bairi naatu Jew hai ma’utenayah bairi Jesu hibai hifatum,
13 Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule.
13 naatu wantoro’ot hibai hin Annas biyan hitit, nati kwamur wanawanan i Firis ana ukwarin ma’am ana veya, nati orot i Kaiafas rawan.
14 Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.
14 Iti orot Kaiafas i Jew uwih eo, gewasin orot ta’imon sabuw etei isah tamorob.
15 Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia ndani ya ukumbi pamoja na Yesu.
15 Simon Peter naatu bai’ufununayan turan ta hairi Jesu hi’ufunun bairi hin. Nati bai’ufununayan ta i firis ukwarin i su’ub, imih i ufunun bairi hin firis ukwarin ana bar merar wanawanan hirun,
16 Lakini Petro alisimama nje karibu na lango, ndipo yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na kuhani mkuu, akazungumza na msichana aliyekuwa analinda lango, akamruhusu Petro aingie ndani.
16 baise Peter etawan awan bat. Bai’ufnunenayan ta iban matabir maiye tit etawan awan akir babitai ifefeyan naatu babitai Peter iu basit, Peter na fur wanawanan run.
17 Yule msichana akamuuliza Petro, “Je, wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?”
17 Babitai etawan awanamaim Peter isan eo, o i ni’i orot ana bai’ufnunenayan orot ta? Peter iya’afut eo, “En ayu men asu’ubimih.”
18 Wale watumishi na askari walikuwa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
18 Nati ana gugumin i siba’u kwanekwan imih akir wairafih naatu ma’utenayah bairi wairaf hi’asir hi’ar bebera’uh hibat rararih. Imih Peter rabon in bairi hibat rararih.
19 Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.
19 Firis ukwarin Jesu ana bai’ufnunenayan naatu ana bai’obaibiyen isan ibatiy.
20 Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza waziwazi mbele ya watu wote. Siku zote nimefundisha katika masinagogi na Hekaluni, mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Sikusema jambo lolote kwa siri.
20 Jesu iya’afut eo, “Ayu i bebeyan sabuw etei matahimaim a’o a binan hinonowar, naatu au bai’obaiyen mar etei i sibor ya’aya efanamaim naatu Tafaror Bar wanawanan sabuw etei teruru’ay matahimaim. Ayu men abistan ta awa’ir aomih.
21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”
21 Aisim ayu kubibabatiyu, sabuw ayu abistanawat a’o hinonowar i kwibatiyih ayu abisa ao i hiso’ob.”
22 Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa askari aliyekuwa amesimama karibu naye, akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?”
22 Jesu iti na’at eo ana mar ma’utenayan orot ta nati’imaim batabat Jesu rebareban ifar eo, “Men iti na’atube firis ukwarin isan ina’omih.”
23 Yesu akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”
23 Jesu iya’afutih eo, “Ayu abisa ana’o kakaf na’at sabuw etei hai tur ku’owen, tur menatan i a’o kakaf. Baise ayu tur etei ana’o’o gewas na’at i aisim irabu”.
24 Ndipo Anasi akampeleka Yesu kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.
24 Imaibo Annas Jesu uman fatufatum auman iyafar in Kaiafas firis ukwarin isan.
25 Wakati huo Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Baadhi ya wale waliokuwepo wakamuuliza, “Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wake?”
25 Peter boro’ika ma fora’ab rarar, sabuw afa nati’imaim bairi hima’am hibatiy hio, “O nati orot ana bai’ufnunenayan ta” Baise Peter youb eo, “En, orot nati men ayu’umih.”
26 Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa amemkata sikio, akamuuliza, “Je, mimi sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?”
26 Firis ukwarin ana akir orot ta i Peter tainin ea’afuw ana rara orot ta nati’imaim batabat, eawafoten eo, “O airi ayu masawamaim ait”
27 Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye jogoo akawika wakati huo huo.
27 Ibanak mar baitounin Peter eo, “En!” naatu mar ta’imon kokorerek eo.
28 Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka.
28 Maraumanaika Jesu Kaiafas ana barene hibai hin gawan orot ana baremaim hirun. Jew hai ukwarih bar wanawanan i men hirun hinamih, anayabin i men hikok wanawanah kato tamatar naatu hai Tar Nowaten ana hiyuw men hita’aamih.
29 Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa akawauliza, “Mmeleta mashtaka gani kumhusu mtu huyu?”
29 Imih Pilate ufun tit sabuw ibatiyih, “Iti orot abisa isan kwa ubar kwabitin?”
30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”
30 Hiya’afut hi’o, “I men kakafin tasisinaf na’at, i boro men atab atan o biya atanamih.”
31 Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.”
31 Pilate isah eo, “Kwabai kwan, kwa taiyuw a’ofafar eo na’atube kwasinaf.” Ibo hai tur hirutabir hio, “Aki auri men baibasit ta ema’am boro yait ta ana asabunimih.”
32 Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.
32 Iti na’atube mamatar i Jesu ana tur mi’itube ana morob isan yai eo’o i tan titurobe isan.
33 Kwa hiyo Pilato akaingia ndani ya jumba la kifalme, akamwita Yesu, akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”
33 Pilate matabir maiye ana bar wanawanan run naatu Jesu eaf na ibatiy, “O Jew sabuw hai aiwob?”
34 Yesu akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”
34 Jesu iya’afut eo, “Iti baibat i o taiyuw a not ayu kubibatiyu o sabuw afa ayu isou a tur hi’owen?”
35 Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, ama sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya kosa gani?”
35 Pilate iya’afut, “O kunotanot ayu i Jew orot? O taiyuw a sabuw naatu firis ukwa’ukwarih o hibuw hinawiy ina ayu isou. Abisa isinaf?”
36 Yesu akajibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, wafuasi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini kama ilivyo, ufalme wangu hautoki hapa ulimwenguni.”
36 Jesu eo, “Ayu au aiwob i men iti tafaram nowanamih, baise ayu au aiwob iti tafaram nowan na’at, ayu au bai’ufununayah boro isou hitiyow, naatu Jew hai ukwarih umah wahine boro hitawasfafaru. En, ayu au aiwob i men iti faram nowanamih.”
37 Pilato akamuuliza, “Kwa hiyo wewe ni mfalme?” Yesu akajibu, “Wewe wasema kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili nilizaliwa, na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Mtu yeyote aliye wa kweli husikia sauti yangu.”
37 Imih Pilate ibatiy, “Bo o i aiwob orot?
38 Pilato akamuuliza Yesu, “Kweli ni nini?” Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena akawaambia wale viongozi wa Wayahudi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lolote alilotenda mtu huyu.
38 Pilate Jesu ibatiy, “Turobe i abistan” Iti tur nonowar ibanak matabir maiye ufun tit Jew sabuw isah eo, “I biyanamaim men kakafin ta atita’ur boro imaim anibabatiy.
39 Lakini ninyi mna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”
39 Baise kwa a binanakwar eo na’atube. Tar Nowaten hiyuw aa ana veya diburane orot ta kwa isa anabotait. Kwa kwakokok Jew hai aiwob anabotait na tit.”
40 Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyangʼanyi.
40 Isan hitarakouw hiwow hi’o, “En, men nati orotomih! Aki akokok i Barabas.”

Ler em outra tradução

Comparar com outra

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar João 18, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.