Ezequiel 40
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs BKJ
1 Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko.
1 No vigésimo quinto ano do nosso cativeiro, no início do ano, no décimo dia do mês, no décimo quarto ano após a cidade ter sido atingida, naquele mesmo dia a mão do SENHOR esteve sobre mim, e me trouxe para lá.
2 Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji.
2 Nas visões de Deus ele me trouxe à terra de Israel, e me pôs sobre um monte muito alto, sobre a qual estava como uma estrutura de uma cidade ao sul.
3 Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake.
3 E ele me levou para lá, e eis que havia ali um homem cuja aparência era como a aparência do bronze, com uma linha de linho na sua mão e uma cana de medir, e ele estava em pé no portão.
4 Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”
4 E disse-me o homem: Filho do homem, contempla com os teus olhos, e ouve com os teus ouvidos, e põe o teu coração sobre tudo quanto eu te mostrar; porque para que eu pudesse mostrá-lo a ti é que foste trazido aqui; declara tudo o que viste à casa de Israel.
5 Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita, yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.
5 E, eis um muro do lado de fora da casa ao redor, e na mão do homem uma cana de medir, de seis côvados de comprimento, por um côvado e um palmo; então ele mediu a largura da edificação, uma cana; e a altura, uma cana.
6 Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito.
6 Então, ele veio ao portão que olhava em direção ao leste, e subiu suas escadas e mediu a soleira do portão, que tinha a largura de uma cana e a outra soleira do portão que tinha a largura de uma cana.
7 Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.
7 E cada pequena câmara tinha o comprimento de uma cana, e a largura de uma cana; e entre as pequenas câmaras havia cinco côvados; e a soleira do portão no alpendre do portão por dentro, era de uma cana.
8 Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
8 Ele também mediu o alpendre do portão, por dentro, uma cana.
9 ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.
9 Então, mediu o alpendre do portão, oito côvados, e os seus pilares, dois côvados, e o alpendre do portão estava por dentro.
10 Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
10 E as pequenas câmaras do portão em direção ao leste eram três deste lado e três daquele lado; os três eram de uma medida; e os pilares tinham uma medida deste lado e naquele lado.
11 Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu.
11 E ele mediu a largura da entrada do portão, dez côvados; e o comprimento do portão, treze côvados.
12 Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba.
12 E o espaço também diante das pequenas câmaras era de um côvado deste lado, e o espaço era de um côvado daquele lado; e as pequenas câmaras tinham seis côvados deste lado e seis côvados daquele lado.
13 Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine.
13 Então, ele mediu o portão desde o telhado de uma pequena câmara até ao telhado de uma outra; a largura era de vinte e cinco côvados, porta contra porta.
14 Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi.
14 Ele fez também pilares, de sessenta côvados, até o pilar do átrio, ao redor do portão.
15 Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.
15 E, desde a face do portão da entrada até a face do alpendre do portão interno, havia cinquenta côvados.
16 Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.
16 E havia ali janelas estreitas para as pequenas câmaras, e para os seus pilares, dentro do portão ao redor, e da mesma forma para os arcos; e as janelas estavam ao redor, para dentro, e sobre cada pilar havia palmeiras.
17 Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia.
17 Então, ele me trouxe ao átrio exterior, e eis que havia ali câmaras, e um pavimento feito para o átrio em redor; trinta câmaras havia sobre o pavimento.
18 Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.
18 E o pavimento ao lado dos portões defronte o comprimento dos portões era o pavimento mais baixo.
19 Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.
19 Então, ele mediu a largura desde a dianteira do portão inferior até a dianteira do átrio interior, por fora, cem côvados, em direção ao leste, e em direção ao norte.
20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
20 E o portão do átrio externo que olhava em direção ao norte, ele mediu o seu comprimento e a sua largura.
21 Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
21 E as suas pequenas câmaras eram três deste lado, e três daquele lado, e os seus pilares e os seus arcos eram segundo a medida do primeiro portão: seu comprimento era de cinquenta côvados, e a largura vinte e cinco côvados.
22 Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo.
22 E as suas janelas, e os seus arcos, e as suas palmeiras, eram segundo a medida do portão que olhava em direção ao leste; e eles subiam para elas por sete degraus, e os seus arcos estavam diante delas.
23 Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.
23 E o portão do átrio interior estava defronte o portão em direção ao norte, e em direção ao leste; e ele mediu de portão a portão cem côvados.
24 Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine.
24 Então, ele me levou em direção ao sul, e contemplou um portão em direção ao sul, e mediu seus pilares e seus arcos de acordo com estas medidas.
25 Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
25 E havia janelas nele e nos seus arcos ao redor, como aquelas janelas; o comprimento era de cinquenta côvados, e a largura vinte e cinco côvados.
26 Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande.
26 E havia ali sete degraus para subir, e os seus arcos estavam diante deles, e ele tinha palmeiras, uma deste lado, e outra daquele lado, sobre seus pilares.
27 Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.
27 E havia ali um portão no átrio interior em direção ao sul; e ele mediu de portão a portão em direção ao sul, cem côvados.
28 Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine.
28 E ele me levou ao átrio interior pelo portão sul; e mediu o portão do sul, de acordo com estas medidas;
29 Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
29 e as suas pequenas câmaras, e os seus pilares, e os seus arcos, de acordo com estas medidas; e havia janelas nele e nos seus arcos ao redor; este tinha cinquenta côvados de comprimento, e vinte e cinco côvados de largura.
30 (Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.)
30 E os arcos ao redor tinham vinte e cinco côvados de comprimento, e cinco côvados de largura.
31 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
31 E os seus arcos estavam em direção ao átrio exterior, e havia palmeiras sobre os seus pilares; e a subida para ele tinha oito degraus.
32 Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.
32 E, ele me levou ao átrio interior, em direção ao leste, e mediu o portão de acordo com estas medidas.
33 Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
33 E as suas pequenas câmaras, e os seus pilares, e os seus arcos, eram de acordo com estas medidas, e havia janelas nela e nos seus arcos ao redor; ele tinha cinquenta côvados de comprimento, e vinte e cinco côvados de largura.
34 Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
34 E os seus arcos ficavam em direção ao átrio externo; e havia palmeiras sobre seus pilares, deste lado e daquele lado; e a subida para ele tinha oito degraus.
35 Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine,
35 Então, me levou ao portão norte, e o mediu conforme estas medidas;
36 kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
36 as suas pequenas câmaras, os seus pilares, e os seus arcos; e as janelas para ele ao redor; o comprimento era de cinquenta côvados, e a largura de vinte e cinco côvados.
37 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
37 E os seus pilares estavam direcionados ao átrio exterior; e havia palmeiras sobre os seus pilares deste lado e daquele lado; e a subida para ele tinha oito passos.
38 Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
38 E as suas câmaras e as suas entradas estavam junto aos pilares dos portões onde eles lavavam as suas ofertas queimadas.
39 Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa.
39 E no alpendre do portão havia duas mesas deste lado, e duas mesas daquele lado, para se matar em cima a oferta queimada e a oferta pelo pecado e a oferta pela transgressão.
40 Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.
40 E do lado de fora, ao subir para a entrada do portão norte, havia duas mesas, e do outro lado, que ficava no alpendre do portão, havia duas mesas.
41 Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa.
41 Quatro mesas haviam deste lado, e quatro mesas daquele lado; ao lado do portão, oito mesas, sobre as quais eles matavam seus sacrifícios.
42 Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali.
42 E as quatro mesas eram de pedra esculpida para a oferta queimada; de um côvado e meio de comprimento, e um côvado e meio de largura, e um côvado de altura; sobre as quais também se punham os instrumentos com os quais eles matavam a oferta queimada e o sacrifício.
43 Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.
43 E dentro havia ganchos de um palmo de largura, presos ao redor, e sobre as mesas estava a carne da oferta.
44 Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini.
44 E fora do portão interior estavam as câmaras dos cantores, no átrio interior, que estava ao lado do portão do norte e sua vista ficava em direção ao sul; uma do lado do portão leste tendo a vista em direção ao norte.
45 Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
45 E ele me disse: Esta câmara cuja vista está virada para o sul é para os sacerdotes, os guardiões encarregados pela casa.
46 nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”
46 E a câmara cuja vista está virada para o norte é para os sacerdotes, os guardiões encarregados do altar; estes são filhos de Zadoque dentre os filhos de Levi, que se aproximam do SENHOR para ministrarem para ele.
47 Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.
47 Então, ele mediu o átrio; cem côvados de comprimento e cem côvados de largura, quadrangular; e o altar que estava diante da casa.
48 Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande.
48 E me levou ao alpendre da casa, e mediu a cada pilar do alpendre, cinco côvados deste lado, e cinco côvados daquele lado; e a largura do portão era de três côvados deste lado, e três côvados daquele lado.
49 Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.
49 O comprimento do alpendre era de vinte côvados, e a largura de onze côvados, e ele me levou pelos degraus por onde se subia a ele; e ali havia pilares junto aos pilares, um deste lado e outro daquele lado.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Ezequiel 40, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.