Êxodo 36
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NTLH
1 Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu Bwana aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile Bwana alivyoagiza.”
1 — Bezalel, Aoliabe e todos os outros homens a quem o Senhor deu habilidade e inteligência e que conhecem tudo o que é preciso para construir a Tenda Sagrada , deverão fazer tudo como o Senhor ordenou.
2 Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
2 Moisés chamou Bezalel, Aoliabe e todos os outros homens a quem o Senhor tinha dado habilidade e que tinham boa vontade para ajudar, e disse-lhes que começassem a trabalhar.
3 Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi.
3 Eles receberam de Moisés as ofertas que os israelitas haviam trazido para construir a Tenda Sagrada . E todas as manhãs o povo de Israel continuava a trazer a Moisés as suas ofertas.
4 Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao,
4 Então os artesãos que estavam fazendo o trabalho
5 wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo Bwana ameagiza ifanyike.”
5 foram falar com Moisés. Eles disseram o seguinte: — O povo está trazendo muito mais do que é necessário para o trabalho que o
6 Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,
6 Então Moisés ordenou que em todo o acampamento ninguém mais trouxesse ofertas para a Tenda Sagrada. E assim o povo não trouxe mais nada.
7 kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.
7 Pois o material que tinham ajuntado era suficiente para todo o trabalho que devia ser feito e ainda sobrava.
8 Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo.
8 E assim os homens mais habilidosos entre os trabalhadores fizeram a Tenda da Presença do . Eles a fizeram com dez cortinas de tecido feito de linho fino e de fios de lã azul, púrpura e vermelha. Nessas cortinas estavam bordadas figuras de querubins .
9 Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane, na upana wa dhiraa nne
9 Todas as cortinas eram do mesmo tamanho, medindo doze metros e meio de comprimento por um metro e oitenta de largura.
10 Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.
10 Eles costuraram cinco delas umas nas outras, formando assim uma só peça; e fizeram a mesma coisa com as outras cinco.
11 Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho.
11 Foram colocadas laçadas de tecido azul na beirada de fora da última cortina de cada uma das duas peças de cortinas.
12 Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana.
12 Puseram cinquenta laçadas na beirada da primeira cortina da primeira peça e cinquenta na beirada da última cortina da segunda peça, de modo que as laçadas ficaram de frente umas para as outras.
13 Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.
13 Os dois jogos de cortinas foram presos um no outro por meio de cinquenta prendedores de ouro, de modo que formavam uma só peça.
14 Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
14 De onze pedaços de pano feito de pelos de cabra fizeram uma cobertura para a Tenda.
15 Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
15 E fizeram todos os pedaços do mesmo tamanho, isto é, todos tinham treze metros e trinta de comprimento por um metro e oitenta de largura.
16 Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.
16 Costuraram cinco pedaços uns nos outros, formando uma peça, e os outros seis, formando outra peça.
17 Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine.
17 Foram colocadas cinquenta laçadas na beirada do último pedaço da primeira peça e cinquenta laçadas na beirada da outra peça.
18 Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.
18 Depois fizeram cinquenta prendedores de bronze para prenderem as duas peças uma na outra a fim de que formassem uma cobertura só.
19 Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
19 Fizeram mais uma cobertura, de peles de carneiro tingidas de vermelho; e em cima desta colocaram outra cobertura, feita de peles finas.
20 Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
20 Prepararam também armações de madeira de acácia a fim de formarem as paredes da Tenda.
21 Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wa dhiraa moja na nusu,
21 Cada uma das armações media quatro metros e quarenta e cinco de altura por sessenta e sete centímetros de largura.
22 zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.
22 Em cada armação havia dois encaixes para juntarem uma à outra. Todas as armações tinham esses encaixes.
23 Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,
23 Fizeram vinte armações para o lado sul
24 na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.
24 e debaixo dessas vinte armações puseram quarenta bases de prata, duas debaixo de cada armação, para firmarem os seus dois encaixes.
25 Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini
25 E para o lado norte da Tenda fizeram vinte armações
26 na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
26 e quarenta bases de prata, duas para cada armação.
27 Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani,
27 Para o lado de trás da Tenda, o lado oeste, fizeram seis armações
28 na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali.
28 e mais duas armações para os cantos.
29 Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana.
29 Essas armações dos cantos foram juntadas na base, formando uma só peça até a primeira argola que ficava na parte de cima. As duas armações que formavam os dois cantos foram colocadas desse jeito.
30 Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
30 Assim, havia oito armações e dezesseis bases de prata, duas para cada armação.
31 Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani,
31 Em seguida prepararam quinze travessas de madeira de acácia; cinco para as armações de um lado da Tenda,
32 matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani.
32 cinco para as armações do outro lado e cinco para as armações do lado oeste, na parte de trás.
33 Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.
33 A travessa do centro passava a meia altura entre as armações, de um lado da Tenda até o outro.
34 Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.
34 Revestiram de ouro essas armações e puseram nelas argolas de ouro, por onde passavam os cabos, que também foram revestidos de ouro.
35 Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia.
35 Fizeram também uma cortina de tecido feito de linho fino e de fios de lã azul, púrpura e vermelha e bordada com figuras de querubins.
36 Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha.
36 Para segurarem essa cortina, foram feitos quatro postes de madeira de acácia revestidos de ouro; os prendedores das cortinas eram de ouro, e as quatro bases dos seus postes eram de prata.
37 Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi.
37 Para a entrada da Tenda foi feita uma cortina de tecido feito de linho fino e de fios de lã azul, púrpura e vermelha e enfeitada com bordados.
38 Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.
38 Para segurarem essa cortina, foram feitos cinco postes, com prendedores, e revestiram de ouro a parte de cima dos postes e os suportes das cortinas. E foram feitas cinco bases de bronze para os postes.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Êxodo 36, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.