Êxodo 26
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NTLH
1 “Tengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi atatarizi makerubi kwenye mapazia hayo.
1 O Senhor disse a Moisés: — Faça a parte de dentro da
2 Mapazia yote yatatoshana kwa ukubwa: kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane, na upana wa dhiraa nne
2 Cada cortina deverá ter doze metros e meio de comprimento por um metro e oitenta de largura.
3 Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.
3 Costure cinco delas umas nas outras, formando assim uma só peça. Faça a mesma coisa com as outras cinco.
4 Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, na ufanye vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho.
4 Ponha laçadas de tecido azul na beirada de fora da última cortina de cada uma das duas peças de cortinas.
5 Fanya vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vielekeane.
5 Faça cinquenta laçadas para a beirada da primeira cortina da primeira peça e cinquenta para a beirada da última cortina da segunda peça, de modo que as laçadas fiquem de frente umas para as outras.
6 Kisha tengeneza vifungo hamsini vya dhahabu ili vitumike kufunga na kuunganisha mapazia pamoja kufanya Hema liwe kitu kimoja.
6 Faça também cinquenta prendedores de ouro e com eles junte os dois jogos de cortinas para que formem uma só peça.
7 “Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
7 — Faça uma cobertura para a Tenda, com onze pedaços de pano feito de pelos de cabra.
8 Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
8 Os pedaços deverão ter o mesmo tamanho, medindo treze metros e trinta de comprimento por um metro e oitenta de largura.
9 Unganisha hayo mapazia matano yawe fungu moja, na hayo mengine sita yawe fungu lingine. Kunja hilo pazia la sita mara mbili mbele ya maskani.
9 Costure cinco pedaços uns nos outros, formando uma peça, e os outros seis, formando outra peça, ficando o sexto pedaço dobrado na parte da frente da Tenda.
10 Tengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine.
10 Ponha cinquenta laçadas na beirada do último pedaço da primeira peça e cinquenta laçadas na beirada da outra peça.
11 Kisha tengeneza vifungo hamsini vya shaba, uviingize katika vile vitanzi ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.
11 Faça também cinquenta prendedores de bronze e passe esses prendedores nas laçadas, juntando assim as duas peças uma com a outra para que formem uma cobertura só.
12 Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaningʼinizwa upande wa nyuma wa Hema.
12 A metade da cortina que sobrar ficará pendurada na parte de trás da Tenda.
13 Mapazia ya hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja zaidi pande zote, sehemu itakayobaki itaningʼinia pande zote za Hema ili kuifunika.
13 Os quarenta e cinco centímetros que sobrarem de cada lado do comprimento das cortinas ficarão de um lado e do outro para cobrir a Tenda.
14 Tengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
14 — Faça mais uma cobertura, de peles de carneiro tingidas de vermelho; e em cima desta coloque outra cobertura, feita de peles finas.
15 “Tengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
15 — Faça também armações de madeira de acácia para a Tenda.
16 Kila mhimili uwe na urefu wa dhiraa kumi na upana wa dhiraa moja na nusu,
16 Cada uma das armações terá quatro metros e quarenta e cinco de comprimento por sessenta e sete centímetros de largura.
17 zikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba kila mmoja na mwingine. Tengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.
17 Cada armação terá dois encaixes para juntar uma à outra. Você fará isso com todas as armações da Tenda.
18 Tengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,
18 Faça vinte armações para o lado sul
19 kisha tengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.
19 e ponha debaixo dessas vinte armações quarenta bases de prata, duas debaixo de cada armação, para firmarem os seus dois encaixes.
20 Kuhusu upande wa kaskazini wa maskani, tengeneza mihimili ishirini
20 Faça também vinte armações para o lado norte
21 na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
21 e quarenta bases de prata, duas para cada armação.
22 Kisha tengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani,
22 Para o lado de trás da Tenda, o lado oeste, você fará seis armações
23 na pia utengeneze mihimili miwili ya pembe za upande ulio mbali.
23 e mais duas armações para os cantos da Tenda.
24 Katika pembe hizi mbili ni lazima mihimili yake iwe miwili kuanzia chini mpaka juu, na iingizwe kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili itafanana.
24 Essas armações dos cantos deverão ser juntadas na base, formando uma só peça até a primeira argola que fica na parte de cima. As duas armações que formam os dois cantos deverão ser colocadas desse jeito.
25 Kwa hiyo itakuwepo mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
25 Portanto, haverá oito armações com as suas dezesseis bases de prata, duas debaixo de cada armação.
26 “Pia tengeneza mataruma ya mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani,
26 — Faça quinze travessas de madeira de acácia, cinco para as armações de um lado da Tenda,
27 matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili ya mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani.
27 cinco para as armações do outro lado e cinco para as armações do lado oeste, na parte de trás.
28 Taruma la katikati litapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.
28 A travessa do centro passará a meia altura entre as armações, de um lado da Tenda até o outro.
29 Funika hiyo mihimili kwa dhahabu, kisha tengeneza pete za dhahabu ambazo zitashikilia hayo mataruma. Pia funika hayo mataruma kwa dhahabu.
29 Revista de ouro essas armações e ponha nelas argolas de ouro, por onde passarão os cabos, que também deverão ser revestidos de ouro.
30 “Simamisha Hema sawasawa na mfano ulioonyeshwa kule mlimani.
30 Arme a Tenda de acordo com o modelo que eu lhe mostrei no monte.
31 “Tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi atirizi makerubi kwenye hilo pazia.
31 — Faça uma cortina de tecido feito de linho fino e de fios de lã azul, púrpura e vermelha e bordada com figuras de querubins.
32 Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha.
32 Pendure essa cortina em quatro postes de madeira de acácia revestidos de ouro, que terão prendedores de ouro e serão fixados em quatro bases de prata.
33 Ningʼiniza pazia hilo kwenye vifungo, kisha weka Sanduku la Ushuhuda nyuma ya pazia. Pazia litatenganisha Mahali Patakatifu kutoka Patakatifu pa Patakatifu.
33 Pendure a cortina debaixo dos prendedores e atrás da cortina ponha a arca da aliança , onde estão as duas placas de pedra. A cortina separará o Lugar Santo do Lugar Santíssimo .
34 Weka kifuniko cha kiti cha rehema juu ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya Patakatifu pa Patakatifu.
34 Ponha a tampa na arca da aliança, no Lugar Santíssimo.
35 Weka meza nje ya pazia upande wa kaskazini wa Hema, kisha weka kinara cha taa upande wa kusini wa Hema.
35 Fora do Lugar Santíssimo ponha a mesa no lado norte da Tenda e coloque o candelabro no lado sul.
36 “Kwa ajili ya ingilio la hema, tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi.
36 — Para a entrada da Tenda faça uma cortina de tecido feito de linho fino e de fios de lã azul, púrpura e vermelha e enfeitada com bordados.
37 Tengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia, na nguzo tano za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.
37 Para segurarem essa cortina, faça cinco postes de madeira de acácia revestidos de ouro e com prendedores de ouro. E faça cinco bases de bronze para os postes.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Êxodo 26, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.