Ester 1

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs BKJ

Sair da comparação
1 Hili ndilo lililotokea wakati wa utawala wa Mfalme Ahasuero, yule aliyetawala juu ya majimbo mia na ishirini na saba tangu Bara Hindi hadi Kushi.
1 Ora, sucedeu nos dias de Assuero, (este é o Assuero que reinou da Índia até a Etiópia, sobre cento e vinte e sete províncias).
2 Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala katika kiti chake cha enzi katika ngome ya mji wa Shushani.
2 Que naqueles dias, quando o rei Assuero assentou-se no trono do seu reino, o qual estava no palácio, em Susã,
3 Katika mwaka wa tatu wa utawala wake, alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake wote pamoja na maafisa. Akawaalika viongozi wa jeshi wa Uajemi na Umedi, wana wa wafalme na wakuu wa majimbo.
3 no terceiro ano do seu reinado, ele fez um banquete para todos os seus príncipes e seus servos; estando perante ele o poder da Pérsia e da Média, e os nobres e príncipes das províncias;
4 Kwa siku zote 180 mfalme alionyesha utajiri mwingi wa ufalme wake, fahari na utukufu wa enzi yake.
4 quando ele mostrou as riquezas do seu glorioso reino e a honra da sua excelente majestade, por muitos dias, a saber, cento e oitenta dias.
5 Siku hizo zilipopita, mfalme alifanya karamu kwa muda wa siku saba, katika bustani ya ndani katika jumba la kifalme, kwa ajili ya watu wote kuanzia mdogo hadi mkubwa, waliokuwa katika ngome ya mji wa Shushani.
5 E quando estes dias haviam expirado, o rei fez um banquete para todo o povo que estava presente no palácio de Susã, tanto para os grandes, como para os pequenos, sete dias, no átrio do jardim do palácio do rei;
6 Bustani ilikuwa na mapazia ya kitani nyeupe na buluu, yaliyofungiwa kamba za kitani nyeupe na kitambaa cha zambarau, kwenye pete za fedha juu ya nguzo za marmar. Kulikuwepo viti vya dhahabu na vya fedha vilivyokuwa vimewekwa kwenye ile sakafu iliyotengenezwa kwa mawe ya rangi, marmar, lulumizi na mawe mengine ya thamani.
6 e havia toldos brancos, verdes e azuis, presos por cordões de linho fino e de púrpura a argolas de prata e a colunas de mármore; os leitos eram de ouro e de prata, sobre um pavimento de mármore vermelho, e azul e branco, e mármore preto.
7 Vyombo vya dhahabu vilitumika kwa watu kunywea mvinyo, kila kimoja tofauti na kingine, naye mfalme akatoa mvinyo kwa wingi kwa kadiri ya ukarimu wake.
7 E eles lhes deram de beber em vasos de ouro (sendo que os vasos eram diferentes uns dos outros) e vinho real em abundância, segundo o estado do rei.
8 Kwa amri ya mfalme kila mgeni aliruhusiwa kunywa alichotaka, kwa kuwa mfalme alitoa maagizo kwa watumishi wote wa kuhudumu mvinyo kumhudumia kila mtu kwa jinsi alivyotaka.
8 E a bebida era de acordo com a lei; ninguém forçou; porque assim o rei tinha indicado a todos os oficiais da sua casa, para que fizessem conforme a vontade de cada homem.
9 Malkia Vashti pia akawafanyia wanawake karamu katika jumba la kifalme la Mfalme Ahasuero.
9 Além disso, a rainha Vasti fez um banquete para as mulheres na casa real que pertencia ao rei Assuero.
10 Siku ya saba, wakati Mfalme Ahasuero alikuwa amesisimka roho yake kwa mvinyo, aliamuru matowashi saba waliokuwa wakimhudumia, yaani, Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkasi,
10 No sétimo dia, estando já o coração do rei alegre com o vinho, ele ordenou a Meumã, Bizta, Harbona, Bigtá, e Abagta, Zetar e a Carcas, os sete camareiros que serviam na presença do rei Assuero,
11 kumleta Malkia Vashti mbele ya mfalme akiwa amevaa taji lake la kifalme, ili aonyeshe uzuri wake kwa watu na wakuu, kwa kuwa alikuwa ni mzuri wa kupendeza.
11 para trazerem a rainha Vasti diante do rei, com a coroa real, para mostrar aos povos e aos príncipes a sua beleza; porque ela era formosa de se olhar.
12 Lakini wakati watumishi walipotoa amri ya mfalme, Malkia Vashti alikataa kuja. Ndipo mfalme alighadhibika, na hasira yake ikawaka.
12 A rainha Vasti, porém, recusou-se a vir diante do mandamento do rei por meio dos seus camareiros; pelo que o rei ficou muito irado, e ardeu nele a sua ira.
13 Kwa kuwa ilikuwa desturi ya mfalme kupata ushauri kwa wataalamu katika mambo ya sheria na haki, alizungumza na watu wenye busara, ambao walijua nyakati,
13 Então, o rei disse aos sábios, os quais conheciam os tempos (porque assim era o costume do rei para com todos os que conheciam a lei e o juízo;
14 nao waliokuwa karibu na mfalme ni Karshena, Shethari, Admatha, Tarshishi, Meresi, Marsena na Memukani, wakuu saba wa Uajemi na Umedi waliokuwa na nafasi ya pekee kwa mfalme nao walikuwa na vyeo vya juu kabisa katika utawala wake.
14 e os próximos a ele eram: Carsena, Setar, Admata, Társis, Meres, Marsena e Memucã, os sete príncipes da Pérsia e da Média, os quais viam a face do rei, e se assentavam por primeiro no reino):
15 Mfalme akauliza, “Kulingana na sheria, Malkia Vashti anapaswa kutendewa nini? Malkia hakutii amri ya Mfalme Ahasuero ambayo matowashi walimpelekea.”
15 O que faremos à rainha Vasti, de acordo com a lei, porque ela não cumpriu o mandamento do rei Assuero por intermédio dos camareiros?
16 Kisha Memukani akajibu mbele ya mfalme na wakuu, “Malkia Vashti si kwamba amemkosea mfalme tu bali pia amewakosea wakuu wote na watu wa himaya yote ya Mfalme Ahasuero.
16 E Memucã respondeu diante do rei e dos príncipes: A rainha Vasti não somente fez errado ao rei, mas também a todos os príncipes, e a todos os povos que há em todas as províncias do rei Assuero.
17 Kwa maana tendo hili la malkia litajulikana kwa wanawake wote, kwa hiyo watawadharau waume zao na kusema, ‘Mfalme Ahasuero aliagiza Malkia Vashti aletwe mbele yake, lakini alikataa.’
17 Porque este ato da rainha tornar-se-á conhecido a todas as mulheres, de modo que elas desprezarão os seus maridos aos seus olhos, quando isto for relatado: O rei Assuero ordenou que a rainha Vasti fosse trazida diante dele, mas ela não veio.
18 Leo hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi ambao wamesikia juu ya tabia ya malkia watawatendea wakuu wote wa mfalme vivyo hivyo. Hapatakuwepo na mwisho wa dharau na magomvi.
18 Neste dia, igualmente as senhoras da Pérsia e da Média, que ouviram o ato da rainha, dirão a todos os príncipes dos reis. Assim suscitar-se-á muitíssima contenda e ira.
19 “Kwa hiyo, kama itampendeza mfalme, atoe amri ya kifalme na iandikwe katika sheria ya Uajemi na Umedi, ambayo haitabadilika, kwamba Vashti kamwe asije tena mbele ya Mfalme Ahasuero. Pia mfalme na atoe hiyo nafasi yake ya umalkia kwa mwanamke mwingine aliye bora kumliko yeye.
19 Se for do agrado do rei, saia da sua parte um mandamento real, e escreva-se entre as leis dos persas e dos medos, para que não seja revogado, que Vasti não venha mais diante do rei Assuero; e que o rei dê a sua propriedade real para outra que seja melhor do que ela.
20 Kisha mbiu hii ya mfalme itakapotangazwa katika himaya yake iliyo kubwa sana, wanawake wote watawaheshimu waume zao, kuanzia mdogo hadi mkubwa.”
20 E quando o decreto que o rei fizer, for publicado por todo o seu império (porquanto este é grande) todas as esposas darão aos seus maridos honra, tanto ao grande, como ao pequeno.
21 Mfalme na wakuu wake walipendezwa na shauri hili, hivyo basi mfalme akafanya kama Memukani alivyopendekeza.
21 E o dizer agradou ao rei e aos príncipes; e o rei fez conforme a palavra de Memucã;
22 Alipeleka barua katika sehemu zote za ufalme wake, kwa kila jimbo kwa maandishi yake mwenyewe na kwa kila watu katika lugha yao wenyewe, akitangaza kwa msemo wa kila watu kwamba inampasa kila mwanaume kuwa mtawala wa nyumba yake mwenyewe.
22 porque ele enviou cartas a todas as províncias do rei, a cada província segundo a sua escrita, e a cada povo segundo a sua língua, para que todo homem assumisse o comando da sua própria casa, e para que isto fosse publicado de acordo com a língua de cada povo.

Ler em outra tradução

Comparar com outra

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Ester 1, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.