Atos 27
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs AAI
1 Ilipoamuliwa kwamba tungesafiri kwa njia ya bahari kwenda Italia, Paulo na wafungwa wengine wakakabidhiwa kwa kiongozi mmoja wa askari aliyeitwa Juliasi, aliyekuwa wa Kikosi cha Walinzi wa Kaisari.
1 Aki au Italy na’at na isan hinot hiyayabuna ufunamaim Paul naatu dibur sabuw afa bairi hibuwih Rome baiyowayah hai orot ukwarin babanamaim wabin Julius umanamaim hiya’i. Caesar baiyowayah orot hai kou’ay wabin Aiwob ana Baiyowayah. |alt="map" src="Paulrome.tif" size="col" ref="Acts 27.1"
2 Tulipanda meli iliyotoka Adramitio, iliyokuwa inakaribia kusafiri kwenda kwenye bandari zilizopo pwani ya Asia, tukaanza safari yetu tukiwa pamoja na Aristarko, Mmakedonia kutoka Thesalonike.
2 Aki wa tafaram Adaramitiamane na batabat abai, iti wa i Asia wanawanan awar etei run titamih nununuw abai. Masedonia orot wabin Aristakus ana tafaram Thessalonica i auman is ra’at bairi an.
3 Kesho yake tukatia nanga Sidoni, naye Juliasi akamfanyia wema Paulo, akamruhusu aende kwa rafiki zake ili wamtimizie mahitaji yake.
3 Anan marto Sidon arun, Julius, Paul isan i igewasin, baibasit itin ana ofonah bainanawanihimih itih ana kokok abisa baibaisin isan iu.
4 Kutoka huko tukaingia baharini tena na tukapita upande wa chini wa kisiwa cha Kipro kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho.
4 Nati’imaim atit maiye ana, baise yabat kufuti, imih aki wa abai ai kewakew Cyprus nuw sisibinamaim isinfafari anunuw an.
5 Baada ya sisi kuvuka bahari iliyoko upande wa Kilikia na Pamfilia, tukafika Mira huko Likia.
5 Anunuw anan i atit are Silisia naatu Pamfilia hai riy yan foun autubun arabon ana Maira arun Laisia wanawanan.
6 Huko yule kiongozi wa askari akapata meli ya Iskanderia ikielekea Italia, akatupandisha humo.
6 Nati’imaim Julius orot ukwarin Alexandria hai wa ta au Italy nununuw tita’ur, basit aki imaim yara’ahi.
7 Tukasafiri polepole kwa siku nyingi na kwa shida, hatimaye tukafika karibu na Nido. Kwa kuwa upepo wa mbisho ulituzuia tusiweze kushika mwelekeo tuliokusudia, tukapita chini ya Krete mkabala na Salmone.
7 Veya moumurih maiyow efamaim aremor, yabat rabi auman awani ayey ana bar merar Sinidus anatabir. Baise yabat i ra’at men karam boro mutufor atanunuw, imih aki Kurit nuw isinfafari anunuw Samone sisibin rounane.
8 Tukaambaa na pwani kwa shida, tukafika sehemu iitwayo Bandari Nzuri, karibu na mji wa Lasea.
8 Kufuti auman awani tor rewarewan anunuw ana efan wabin Umabibin imaim atit, bar merar Lasea sisibinamaim Umabibin imaim arun.
9 Muda mwingi ulikuwa umepotea na kusafiri baharini kulikuwa hatari kwa sababu wakati huu ulikuwa baada ya siku za kufunga. Hivyo Paulo akawaonya akasema,
9 Nati’imaim veya manin maiyow ama naatu busurufin maiye na isan yabat i ra’at re sakirafut. Anayabin gagar ana veya i mar etei notawiyen ana hiyuw ufunamaim ebubusuruf. Imih Paul imatnuwih eo,
10 “Mabwana, naona kuwa hii safari ni yenye maafa na ya kuleta hasara kubwa kwa meli na shehena, pia kwa maisha yetu.”
10 “Oro’orot ayu ai’itin it tanatit tananan i boro kakafin wan tanamara’at, wa boro nataseb, sawar etei boro tanisaroun naatu it auman boro tanamorob.”
11 Lakini badala ya yule kiongozi wa askari kusikiliza yale Paulo aliyosema, akafuata zaidi ushauri wa nahodha na mwenye meli.
11 Baise baiyowayan hai orot gagamih Julius, Paul ana tur men nowar, baise wa ana kaifenayan, naatu wa matuwan abisa hio hai tur i’ufunun.
12 Kwa kuwa ile bandari ilikuwa haifai kukaa wakati wa majira ya baridi, wengi wakashauri kwamba tuendelee na safari wakitarajia kufika Foinike na kukaa huko kwa majira ya baridi. Hii ilikuwa bandari iliyoko katika kisiwa cha Krete ikikabili upande wa kusini-magharibi na kaskazini-magharibi.
12 Naatu nati awar wa rouwin rarab siba’u imaim ma isan men igewasin, imih orot etei hai kok i boro wa hitimtawiy takakaram na’at atarabon Phoenix imaim rarab siba’u atama. Phoenix awar i tafaram Kurit wanawanan naatu nati awar i gewasin anayabin umabibin oyaw na’atune veya ere’er boro ina’itin nare.
13 Upepo mtulivu ulipoanza kuvuma toka kusini, wakadhani kuwa wangeweza kufikia lengo lao, hivyo wakangʼoa nanga na kusafiri wakipita kandokando ya pwani ya kisiwa cha Krete.
13 Waruw kikimin gurufune tarsisin, orot hinotanot abisa hio i mamatar, imih aumor hitain hiyen naatu rarar hibora’aten Kurit dones sisibin akutitiy.
14 Lakini baada ya muda mfupi ikavuma tufani kubwa iitwayo “Eurakilo” toka kisiwa cha Krete.
14 Baise men yok yabat gagamin wabin wowog oyawane babin re.
15 Meli ikapigwa na dhoruba na haikuweza kushindana na ule upepo, tukarudishwa baharini upepo ulikokuwa unaelekea.
15 Wa rab, aki bai kewakew run maiye isan abiwa’an men karam basit yabat wan amara’at atit are.
16 Hatimaye tukisafiri kupita chini ya kisiwa kidogo kiitwacho Kauda, ambapo kwa kuwa tulikuwa tumekingiwa upepo na hicho kisiwa, tuliweza kwa shida kuifunga mashua ya kuokolea watu.
16 Baise anunuw ana nuw kikimin wabin Kauda guruf na’atune bat aki sisibin umabibin isinfafari, naatu hifafair wa kikimin uranane atain yen,
17 Watu walipokwisha kuivuta mashua hiyo na kuiingiza katika meli, waliifunga kwa kamba chini ya meli yenyewe ili kuzishikanisha pamoja. Wakiogopa kupelekwa kwenye mchanga karibu na pwani ya Sirti, wakashusha matanga wakaiacha meli isukumwe na huo upepo.
17 murab hibow hikiktatan gaigiwas, wa afe’en baginayah yabat buwih run Libia dones yen yara’ahih hirouw hibir, basit rar hitaiyen hire wa bat earuw.
18 Tulikuwa tunapigwa na dhoruba kwa nguvu, kiasi kwamba kesho yake walianza kutupa shehena toka melini.
18 Yabat i wan fus kubar rouw in marto, naatu wa afe’en sabuw sawar hibow hisrouruwen riy yan hire.
19 Siku ya tatu, wakatupa vyombo vya meli baharini kwa mikono yao wenyewe.
19 Naatu veya baitaunin i wa ana sawar afa: rar, murab, koutataren, naatu boy i hibow taiyan hitaiyen hire.
20 Kulipokuwa hakuna kuonekana kwa jua wala nyota kwa siku nyingi, nayo dhoruba ikiwa inaendelea kuwa kali, hatimaye tulikata kabisa tamaa ya kuokoka.
20 Tafaram etei gugum aki sumar, daman men a’itah veya manin maiyow yabat kutuw rouw inan aki etei akasiy yawas isan anotanot ai not etei sawar.
21 Baada ya watu kukaa siku nyingi bila kula chakula, Paulo akasimama katikati yao akasema, “Enyi watu, iliwapasa kunisikiliza na kuacha kusafiri baharini kutoka Krete, ndipo ninyi mngekuwa mmejinusuru na uharibifu huu na hasara hii.
21 Orot nati wa afe’en veya bai’ab ama yabat rarabi bay men yait ta eaan, Paul misir nah yan foun bat eo, “Oro’orot kwa gewasin ayu fanau kwatanowar Kurit tatama’am iti sawar boro men hita’af naatu boro men ta yababan tab.
22 Sasa ninawasihi sana, jipeni moyo mkuu kwa kuwa hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake, ila meli itaangamia.
22 Baise boun i kwa abifefeyani koufair kwanab, anayabin kwa orot etei boro men ta inamorobomih. Wa akisinamo boro natafofor na’unun.
23 Jana usiku, malaika wa Mungu yule ambaye mimi ni wake na ambaye ninamwabudu alisimama karibu nami,
23 Fai gugumin God ayu aru, naatu God ayu akwakwafir i ana tounamatar iyafar ayu sisibu’umaim bat,
24 naye akasema, ‘Paulo usiogope, kwa kuwa ni lazima usimame mbele ya Kaisari, naye Mungu amekupa kwa neema uhai wa wote wanaosafiri pamoja nawe.
24 naatu iuwu, ‘Paul men inabir, o i boro Caesar nanamaim ubar hibit hinibabatiyi. God i ana kabeberamaim sabuw iti bairi wa afe’en kwanan hai yawas etei o umamaim ya, imih boro men yait ta namorob.’
25 Hivyo jipeni moyo, enyi watu, kwa kuwa ninamwamini Mungu kwamba yatakuwa kama vile alivyoniambia.’
25 Imih oro’orot koufair kwanab! Anayabin ayu God abitumitum abisa eo anonowar na’atube boro nasinaf.
26 Lakini hata hivyo meli yetu itakwama kwenye kisiwa fulani.”
26 Baise it i boro narabit tanan nuw ta ana donesamaim boro nayara’ahit.”
27 Usiku wa kumi na nne ulipofika, tulikuwa bado tunasukumwa na upepo katika Bahari ya Adria. Ilipokuwa yapata usiku wa manane, mabaharia wakahisi kwamba walikuwa wanakaribia nchi kavu.
27 Yabat rabi Mediterenean tor yan areremor fur rou’ab sawar veya 14 baib ana veya nati ana gugumin imaim wa afe’en baginayah naniyah hibaib aki i ana tafaram abiyubin.
28 Kwa hiyo wakapima kina cha maji na kukuta kilikuwa pima ishirini, baada ya kuendelea mbele kidogo wakapima tena wakapata kina cha pima kumi na tano.
28 Basit murab hibai aumor hi’utan hitaiy re taiy hifufufum ana fofonin i 40 metres naatu hima kafai naatu hifufun maiye hi’tin i 30 metres.
29 Wakiogopa kwamba meli yetu ingegonga kwenye miamba, wakashusha nanga nne za nyuma ya meli, wakawa wanaomba kupambazuke.
29 Naatu hai bir i ra’at yabin yabat boro wa nab anan ar afe’en nayara’ah, imih aumor etei kwafe’en wa uranane hitaiyen hire naatu mar saise to isan hima hiyoyoban.
30 Katika jaribio la kutoroka kutoka kwenye meli, mabaharia wakashusha mashua ya kuokolea watu baharini, wakijifanya kwamba wanakwenda kushusha nanga za omo.
30 Imaibo wa afe’en bowayah wa baihamiyin bihiramih hima hiyakitifuw. Naatu wa kafai hirufam harew yan hitaiy re, hitifuwen wa nanane aumor baitaiyin hitarouw hitanan i aunah hitanamih.
31 Ndipo Paulo akamwambia yule jemadari na askari, “Hawa watu wasipobaki katika meli, hamtaweza kuokoka.”
31 Baise Paul baiyowayah hai orot ukwarin bobonawiyih naatu baiyowayah iuwih eo, “Iti wa afe’en bowayah wa afe’en men hinama’am na’at, kwa etei i men karam boro yawas kwanab.”
32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.
32 Basit baiyowayah kaiy hibow wa kafai ana murab hi’afuw naatu hitumar e’aruw in.
33 Kabla ya mapambazuko, Paulo akawasihi watu wote wale chakula akisema, “Leo ni siku ya kumi na nne mmekuwa katika wasiwasi mkiwa mmefunga na bila kula chochote.
33 Mar sibisib auman, Paul orot etei iuwih eo, “Kwa i bay kwanaa, anayabin bay en kwama’am boun fur rou’ab sawar naatu ya wanawanan i men abisa ta ema’am.
34 Kwa hiyo nawasihi mle chakula, kwa maana itawasaidia ili mweze kuishi. Kwa kuwa hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza unywele hata mmoja kutoka kichwani mwake.”
34 Imih abifefeyani bay kwanaa fair kwanab, arib boro men ta nata’uy nare nakasiyomih.”
35 Baada ya kusema maneno haya, Paulo akachukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega akaanza kula.
35 Paul iti eo ufunamaim rafiy bai orot etei nahimaim God ana merar yi, imasib naatu busuruf eaan.
36 Ndipo wote wakatiwa moyo, wakaanza kula chakula.
36 Etei hi’itin koufair hibai naatu etei’imak bay afa hibow yah hirutan.
37 Ndani ya meli tulikuwa jumla ya watu 276.
37 Naatu aki nati wa afe’en anan nai etei i 276.
38 Baada ya watu wote kula chakula cha kutosha, wakapunguza uzito wa meli kwa kutupa ngano baharini.
38 Orot etei bay hi’aa yah biw ufunamaim, wheat nati wa afe’en hi’iuin hibow harew yan hitaiyen hire wa kerer.
39 Kulipopambazuka, mabaharia hawakuitambua ile nchi, lakini waliona ghuba yenye ufuko wa mchanga, ambako waliamua kuipweleza meli kama ingewezekana.
39 Mar totoririb ana veya wa afe’en baginayah dones men hi’inan, baise umabibin ana dones hi’itin naatu wa hibai hisinaftobon nati dones yen baitet ra’ahin isan hinunuw.
40 Kwa hiyo wakatupa nanga zote na kuziacha baharini, na wakati huo huo wakalegeza kamba zilizokuwa zikishikilia usukani wa meli. Kisha wakatweka tanga la mbele lishike upepo na kuisukuma meli kuelekea pwani.
40 Wa ana aumor hi’afuw tai yan hi’in naatu gunig ana murab au ta’imon hirufam, imaibo rar hibora’ah wa bai aki au dones anunuw arun.
41 Lakini wakafika mahali ambapo bahari mbili zinakutana, wakaipweleza meli ufuoni, omo ikakwama sana, ikawa haiwezi kuondolewa, lakini sehemu ya shetri ikavunjika vipande vipande kwa kule kupiga kwa mawimbi yenye nguvu.
41 Baise wa nunuw rur yabat rab mamay yan yen naatu yara’ah nanane re tatab bai’etaw isan men karam, naatu uranane yabat rab tagurugurus.
42 Wale askari wakapanga kuwaua wale wafungwa ili kuzuia hata mmoja wao asiogelee na kutoroka.
42 Baiyowayah dibur etei rouw morob isan hiyakitifuw, men hikok boro hitataiy dones hitayen hitabihir.
43 Lakini yule jemadari alitaka kuokoa maisha ya Paulo, basi akawazuia askari wasitekeleze mpango wao. Akaamuru wale wanaoweza kuogelea wajitupe baharini kwanza, waogelee mpaka nchi kavu.
43 Baise baiyowayah hai orot gagamin i Paul tiyawas imih baiyowayah abisa hinot hio i eotanih, naatu iuwih eo, “O yait itaiy isoso’ob wan kukununuw kure kutaiy kwen dones kuyen.
44 Waliosalia wangefika nchi kavu kwa kutumia mbao au vipande vya meli iliyovunjika, hivyo ikatimia kwamba wote wakaokoka na kufika nchi kavu salama.
44 Naatu afa i boro uf hinare wa rab tatagurugurus rebarebah afe’eh hinayen hinataiy hinarun.” Aki iti na’atube asinaf etei yawasi ataiy an dones yan ayen men yait ta morob. Wa tafofor hire au dones tetataiy|alt="shipwrecked people making for shore" src="cn02045B.tif" size="col" loc="Act 27.44" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="27.44"
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Atos 27, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.