Atos 12
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs AAI
1 Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
1 Nati ana veya’amaim Herod busuruf sabuw afa hina ekalesia ana kou’ayamaim hima’am bow fatum bai’akir kakafin maiyow itih.
2 Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.
2 Naatu John tuwah James uwih hibai kaiyomaim hiyi morob.
3 Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.
3 Iti na’atube sinaf Jew sabuw hibiyasisir itih, basit, Faraw Wanawanan Yeast En ana hiyuw hi’aa ana mar eo Peter hibai hifatum.
4 Baada ya kumkamata alimtia gerezani, chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari, vyenye askari wanne kila kimoja. Herode alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka mbele ya watu baada ya Pasaka.
4 Peter hibai hifafatum ufunamaim hibai hin dibur hiyari’iy, baiyowayah etei 16 hima’uh hima.
5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii.
5 Imih Peter diburamaim hibotan hima, baise ekaleisia dogoroh tutufin etei God isan hiyoyoban.
6 Usiku ule kabla ya siku ambayo Herode Agripa alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili, akiwa amefungwa kwa minyororo miwili. Nao walinzi wa zamu walikuwa wakilinda penye lango la gereza.
6 Nati gugumin ta’imon Pilate yayakitifuw mar tatot tibatiyimih, Peter baise ma’utenayah orot rou’ab hai founamaim uman rororon chain hi’utan. Naatu au waraunane i ma’utenayah umah hi’utan naatu i matan fot in. Dibur etawan auman ma’utenayah hibat hikakaif.
7 Ghafula malaika wa Bwana akatokea na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.
7 Naniyan meyemeye Regah ana tounamatar run bat naatu marakaw bar wanawanan kusisiar re, tounamatar Peter tuwabun bai ibunibun eo, “Mata enuw kumisir saife.” Mar ta’imonamo Peter uman chain hiha’obow hire. Tounamatar na Peter ebibunibun|alt="Angel awaking Peter" src="cn01953B.tif" size="col" loc="Act 12.7" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="12.7"
8 Yule malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Kisha akamwambia, “Jifunge vazi lako na unifuate.”
8 Imaibo tounamatar Peter iu, “A faifuw kwiyoun naatu a baibiyon kwiyoun.” Peter na’atube sinaf naatu tounamatar eo, “A faifuw tafan baibiyon naiw kufifin naatu kwi’ufnunu.”
9 Petro akatoka mle gerezani akiwa amefuatana na yule malaika. Hakujua wakati huo kuwa yaliyokuwa yakitukia yalikuwa kweli. Alidhani kuwa anaona maono.
9 Peter i’ufunun hairi hitit dibur bar ufunane hire, baise Peter men kafa’imo so’ob tounamatar abisa sisinaf, i notanot i mimim rouw.
10 Wakapita lindo la kwanza na la pili, ndipo wakafika kwenye lango la chuma linaloelekea mjini. Lango likawafungukia lenyewe, nao wakapita hapo wakatoka nje. Baada ya kutembea umbali wa mtaa mmoja, ghafula yule malaika akamwacha Petro.
10 Hitit ma’utenayah etawan wan hibatabat naatu etawan bairou’abin hibatabat hinatabirih. Naatu hina etawan gagamin in bar merar titit awanamaim hitit, etawan akisin botawiy hitit ef yan hire. Ef nati hibutitiy hin yomaninamaim hitit, basit tounamatar sa’iwa’an.
11 Ndipo Petro akarudiwa na fahamu, akasema, “Sasa ninajua bila shaka yoyote kuwa Bwana amemtuma malaika wake na kuniokoa kutoka makucha ya Herode Agripa na kutoka matazamio yote ya Wayahudi.”
11 Peter imaibo matan to iwa’an eo, “Turobe, iti sawar i anababatun ayu isou matar. Regah ana tounamatar iyafar Herod ana fairane naatu Jew sabuw sawar abisa hinotanot mataramih i umahine ayu iyawasu.
12 Mara Petro alipotambua hili alikwenda nyumbani kwa Maria, mama yake Yohana aliyeitwa pia Marko, ambako watu wengi walikuwa wamekutana kwa maombi.
12 Peter ana not kukubunai ufunamaim na John Mark hinah Mary ana bar tit. Nati’imaim sabuw moumurih na’in hiru’ay hima hiyoyoyoban.
13 Petro alipobisha hodi kwenye lango la nje, mtumishi wa kike jina lake Roda, akaja kumfungulia.
13 Peter na etawan ufunane bat rukikitar, naatu bowabow babitai wabin Rhoda etawan botawiyinamih na.
14 Alipoitambua sauti ya Petro, alifurahi mno akarudi bila kufungua na kuwaeleza kwamba, “Petro yuko langoni!”
14 Baise Peter fanan i’inan ana maramaim yan wanawanan yasisir awan karatan etawan botawiyina’e i matabir nunuw run e’af eo, “Peter na ufun ebatabat.”
15 Wakamwambia yule mtumishi wa kike, “Umerukwa na akili.” Alipozidi kusisitiza kuwa ni kweli, wakasema, “Lazima awe ni malaika wake.”
15 Sabuw hi’u, “O anot i kwaris.” Baise i ana yanibebemaim, imih hio, “Nati i Peter ayubin.”
16 Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
16 Baise Peter bat rurukikitar etawan hibotawiy, naatu hi’i’itin ana veya hifofofor men kafaita.
17 Yeye akawaashiria kwa mkono wake wanyamaze kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Naye akaongeza kusema, “Waelezeni Yakobo na ndugu wengine habari hizi.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.
17 Peter umanamaim iman awah bofot naatu Regah mi’itube diburane bobotait hai tur eowen, “Iti i James ana tur kwana’owen naatu taitu auman hai tur kwana’owen.” Imaibo ihamiyih tit efan ta’amaim in.
18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.
18 Mar auman baiyowayah wanawanahimaim kasiy gagamin na’in matar, taiyuwih hibabatiyih hio, “Peter isan mi’itube’emih iti na’atube matar?”
19 Baada ya Herode kuamuru atafutwe kila mahali na bila kumpata, aliwahoji wale askari walinzi kisha akatoa amri wauawe. Basi Herode Agripa akatoka Uyahudi akaenda Kaisaria, akakaa huko kwa muda.
19 Herod kwararih hin hinuwih, baise men hitita’ur. Basit ma’utenayah orot nah 16 buwih ibabatiyih sawar eo hibow hin hirouw himorob.
20 Basi Herode Agripa alikuwa amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Hivyo watu wa miji hiyo miwili wakaungana pamoja wakatafuta kukutana naye. Wakiisha kuungwa mkono na Blasto, mtumishi maalum wa Mfalme Herode Agripa aliyeaminika, wakaomba mapatano ya amani maana nchi zao zilitegemea nchi ya huyo mfalme kwa mahitaji yao ya chakula.
20 Herod ana yaso’ar gagamin na’in Taiya naatu Sidon sabuw isah biyaso’aso’ar. Imih sabuw kou’ay hibai Herod itinamih hina. Wantoro’ot aiwob ana orot gagamin wabin Blastus yan hiyi rabon isahine bat imaibo hina Herod biyan hitit tufuw isan hifefeyan. Anayabin hai tafaram ana bay i Herod ana tafaramane nan.
21 Katika siku iliyochaguliwa Herode Agripa akavaa mavazi yake ya kifalme, akaketi kwenye kiti chake cha enzi na kuwahutubia watu.
21 Veya hirurubin na’atube aiwob hai gub ana faifuw bai iyoun ana urama’ama’amaim mare ma sabuw isah binan.
22 Watu waliokuwa wamekusanyika wakapiga kelele, wakisema, “Hii si sauti ya mwanadamu, bali ni ya Mungu.”
22 Sabuw tur hinonowar hio, “Iti men orot ebibinanumih, baise god.”
23 Ghafula, kwa kuwa Herode hakumpa Mungu utukufu, malaika wa Bwana akampiga, naye akaliwa na chango, akafa.
23 Mar ta’imon Regah ana tounamatar Herod rab re morob biyan motamot hi’an morob, anayabin sabuw bora’aten hibitin men bai God itinimih.
24 Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.
24 Naatu God ana tur ra’at tasasar tit sabuw etei hinowar.
25 Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko.
25 Barnabas, Saul hairi hai bowabow hibisawar ufunamaim Jerusalemane himatabir maiye John Mark hibai bairi hin.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Atos 12, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.