Apocalipse 10
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs AAI
1 Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu na upinde wa mvua juu ya kichwa chake. Uso wake ulingʼaa kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
1 Imaibo ayu tounamatar ta fairin marane tit sakuk wanawanan earmetan auman re nan aitin. Ukwarinamaim ana kaniy rouw naatu an ana itinin wairaf na’atube matan yafuyafun auman, ana yumat i veya na’atube rarasib.
2 Mkononi mwake alikuwa ameshika kijitabu kilichokuwa kimefunguliwa. Akauweka mguu wake wa kuume juu ya bahari na mguu wake wa kushoto akauweka juu ya nchi kavu.
2 Umanamaim fef firorow kikimin rusasar auman rena, an ana’asukwafune riy yan bat naatu an ana beyawane me yan bat,
3 Naye akapiga kelele kwa sauti kuu kama simba anayenguruma. Alipopiga kelele, zile radi saba zikatoa ngurumo zake.
3 fanan aumetawat na’in e’afa’af ananowarin i lion egagaran na’atube, eafa’af ufunamaim, gunum etei seven gugugug hiwa’an hiya’afut.
4 Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.”
4 Naatu hibiya’afut ana veya ayu ata kirumamih abubusuruf, baise marane fanan ta eo, “Abisa gunum seven hio inonowar ana wa’iwa’irin o akisimo inabotan men bukamaim inakirum!”
5 Kisha yule malaika niliyekuwa nimemwona akiwa amesimama juu ya bahari na juu ya nchi akainua mkono wake wa kuume kuelekea mbinguni.
5 Imaibo tounamatar riy yan naatu me yan bat ai’itin uman ana asukwafune au mar bora’ah.
6 Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena!
6 Naatu orot nati wanatowan, wanatowan ema’am isan mar tafaram riy sawar etei sinafen wanawanan tema’am, Regah God wabinamaim eo baifaro eo, “Veya boro men ta au’uf tananawiyimih!
7 Lakini katika siku zile ambazo huyo malaika wa saba atakapokaribia kuipiga hiyo tarumbeta yake, siri ya Mungu itatimizwa, kama vile alivyowatangazia watumishi wake manabii.”
7 Baise tounamatar bai seven ana tour nabababin ana veya God ana kirikirifot abisa kurerereb ana dinab orot nonowar na’atube boro natit yomanin na’asa’ub.”
8 Ndipo ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni ikasema nami tena ikaniambia, “Nenda, chukua kile kitabu kilichofunguliwa kilichoko mkononi mwa yule malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
8 Imaibo fanan maramaim anonowar iban iuwu maiye eo, “Kwen buk nati tounamatar riy yan naatu me yan ebatabat umanamaim rusasar inu’in kubai.”
9 Basi nikamwendea nikamwomba yule malaika anipe kile kitabu kidogo. Akaniambia, “Chukua na ukile. Kitakuwa kichungu tumboni mwako, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”
9 Imih ayu ana tounamatar ai fefeyan buk kikimin baitu isan ao, iuwu eo, “Kubai naatu ku’aan, kamokam boro nitenkuyakuy baise awamaim ina’ani’an ana mumunin boro tafu’ube.”
10 Hivyo nikakichukua kile kitabu kidogo kutoka mkononi mwa yule malaika nikakila. Kilikuwa kitamu kama asali kinywani mwangu, lakini baada ya kukila, tumbo langu likatiwa uchungu.
10 Tounamatar umanamaim buk firorow abai naatu aan, ani’aan ana mumunin i tafu’ube baise ani’aan ufunamaim kamoukamou itenkuyakuy.
11 Kisha nikaambiwa, “Imekupasa kutoa unabii tena kuhusu makabila mengi, mataifa, lugha na wafalme.”
11 Imaibo hi’uwu, “God ana tur sabuw moumurih, tafaram ta ta, tur ta ta, naatu aiwob ta ta isah ina’orereb maiye.”
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Apocalipse 10, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.