2 Tessalonicenses 3
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs BKJ
1 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili Neno la Bwana lipate kuenea kwa haraka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile ilivyokuwa kwenu.
1 E, finalmente, irmãos, orai por nós, para que a palavra do Senhor tenha livre curso e seja glorificada, como também o é entre vós.
2 Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini.
2 E para que sejamos livres de homens irracionais e maus; porque nem todos os homens possuem a fé.
3 Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu.
3 Mas o Senhor é fiel, e vos confirmará e vos guardará do maligno.
4 Nasi tuna tumaini katika Bwana ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza.
4 E confiamos quanto a vós no Senhor, que não só fazeis como fareis as coisas que vos mandamos.
5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
5 E o Senhor encaminhe os vossos corações no amor de Deus e na paciente espera por Cristo.
6 Ndugu, tunawaagiza katika Jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni na kila ndugu ambaye ni mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo tuliyowapa.
6 Nós vos mandamos, irmãos, em nome de nosso Senhor Jesus Cristo, que vos aparteis de todo irmão que anda desordenadamente e não segundo a tradição que ele recebeu de nós.
7 Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi,
7 Porque vós mesmos sabeis como convém seguir-nos, pois que não nos portamos desordenadamente entre vós,
8 wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.
8 nem comemos o pão de homem algum de graça, mas com trabalho e fadiga, trabalhando noite e dia, para não sermos pesados a nenhum de vós.
9 Tulifanya hivi, si kwa sababu hatukuwa na haki ya kupata msaada kama huo, bali ndio sisi wenyewe tuwe kielelezo.
9 Não porque não tivéssemos tal direito, mas para vos dar em nós mesmos exemplo, para nos seguirdes.
10 Kwa maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa amri kwamba: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, hata kula asile.”
10 Porque, quando ainda estávamos convosco, isto vos mandamos: que, se alguém não quiser trabalhar, também não coma.
11 Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.
11 Porquanto ouvimos que há alguns entre vós que andam desordenadamente, não trabalhando, mas são intrometidos.
12 Basi watu kama hao tunawaagiza na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo, kwamba wafanye kazi kwa utulivu kwa ajili ya chakula chao wenyewe.
12 A esses tais, porém, mandamos e exortamos, por nosso Senhor Jesus Cristo, que, trabalhando com sossego, comam o seu próprio pão.
13 Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.
13 Mas vós, irmãos, não vos canseis de fazer o bem.
14 Ikiwa mtu yeyote hayatii maagizo yetu yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu huyo. Msishirikiane naye, ili apate kuona aibu.
14 Mas, se algum homem não obedecer à nossa palavra por esta carta, notai tal homem, e não vos mistureis com ele, para que se envergonhe.
15 Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
15 Todavia, não o considere como inimigo, mas admoestai-o como um irmão.
16 Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.
16 Ora, o próprio Senhor da paz vos conceda a paz sempre, por todos os meios. O Senhor seja com todos vós.
17 Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote. Hivi ndivyo niandikavyo.
17 Saudação de Paulo, com minha própria mão, que é o sinal em todas as cartas; assim escrevo.
18 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.
18 A graça de nosso Senhor Jesus Cristo seja com todos vós. Amém.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar 2 Tessalonicenses 3, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.