1 Crônicas 27
Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN) vs NVI
1 Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
1 Esta é a lista dos israelitas, chefes de famílias, comandantes de mil e comandantes de cem; oficiais que serviam o rei na supervisão das divisões do exército que estavam de serviço mês a mês, durante o ano. Cada divisão era constituída por 24. 000 homens.
2 Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
2 Encarregado da primeira divisão de 24. 000 homens, para o primeiro mês, estava Jasobeão, filho de Zabdiel.
3 Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
3 Ele era descendente de Perez e chefe de todos os oficiais do exército para o primeiro mês.
4 Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
4 Encarregado da divisão para o segundo mês estava Dodai, descendente de Aoí; Miclote era o líder da sua divisão que contava 24. 000 homens.
5 Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
5 O terceiro comandante do exército, para o terceiro mês, foi Benaia, filho do sacerdote Joiada. Ele era chefe da sua divisão de 24. 000 homens.
6 Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
6 Esse Benaia foi guerreiro, chefe dos Trinta. Seu filho Amizabade estava encarregado da sua divisão.
7 Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
7 O quarto, para o quarto mês, foi Asael, irmão de Joabe; seu filho Zebadias foi seu sucessor. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
8 Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
8 O quinto, para o quinto mês, foi o comandante Samute, o izraíta. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
9 Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
9 O sexto, para o sexto mês, foi Ira, filho de Iques, de Tecoa. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
10 Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
10 O sétimo, para o sétimo mês, foi Helez, de Pelom, descendente de Efraim. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
11 Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
11 O oitavo, para o oitavo mês, foi Sibecai, de Husate, da família de Zerá. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
12 Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
12 O nono, para o nono mês, foi Abiezer, de Anatote, da tribo de Benjamim. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
13 Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
13 O décimo, para o décimo mês, foi Maarai, de Netofate, da família de Zerá. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
14 Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
14 O décimo primeiro, para o décimo primeiro mês, foi Benaia, de Piratom, descendente de Efraim. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
15 Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
15 O décimo segundo, para o décimo segundo mês, foi Heldai, de Netofate, da família de Otoniel. Havia 24. 000 homens em sua divisão.
16 Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa:
16 Estes foram os líderes das tribos de Israel: de Rúben: Eliézer, filho de Zicri; de Simeão: Sefatias, filho de Maaca;
17 kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli;
17 de Levi: Hasabias, filho de Quemuel; de Arão: Zadoque;
18 kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi;
18 de Judá: Eliú, irmão de Davi; de Issacar: Onri, filho de Micael;
19 kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia;
19 de Zebulom: Ismaías, filho de Obadias; de Naftali: Jeremote, filho de Azriel;
20 kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia;
20 dos descendentes de Efraim: Oséias, filho de Azazias; da metade da tribo de Manassés: Joel, filho de Pedaías;
21 kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria;
21 da outra metade da tribo de Manassés, em Gileade: Ido, filho de Zacarias; de Benjamim: Jaasiel, filho de Abner;
22 kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu.
22 de Dã: Azareel, filho de Jeroão. Foram esses os líderes das tribos de Israel.
23 Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
23 Davi não contou os homens com menos de vinte anos, pois o Senhor havia prometido tornar Israel tão numeroso quanto as estrelas do céu.
24 Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
24 Joabe, filho de Zeruia, começou a contar os homens, mas não pôde terminar. A ira divina caiu sobre Israel por causa desse recenseamento, e o resultado não entrou nos registros históricos do rei Davi.
25 Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme.
25 Azmavete, filho de Adiel, estava encarregado dos tesouros do palácio. Jônatas, filho de Uzias, estava encarregado dos depósitos do rei nos distritos distantes, nas cidades, nos povoados e nas torres de sentinela.
26 Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
26 Ezri, filho de Quelube, estava encarregado dos trabalhadores rurais, que cultivavam a terra.
27 Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu.
27 Simei, de Ramá, estava encarregado das vinhas. Zabdi, de Sifá, estava encarregado do vinho que era armazenado em tonéis.
28 Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi.
28 Baal-Hanã, de Gederá, estava encarregado das oliveiras e das figueiras bravas, na Sefelá. Joás estava encarregado do fornecimento de azeite.
29 Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni.
29 Sitrai, de Sarom, estava encarregado dos rebanhos que pastavam em Sarom. Safate, filho de Adlai, estava encarregado dos rebanhos nos vales.
30 Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia.
30 O ismaelita Obil estava encarregado dos camelos. Jedias, de Meronote, estava encarregado dos jumentos.
31 Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi.
31 O hagareno Jaziz estava encarregado das ovelhas. Todos esses eram encarregados de cuidar dos bens do rei Davi.
32 Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
32 Jônatas, tio de Davi, era conselheiro; homem sábio e também escriba. Jeiel, filho de Hacmoni, cuidava dos filhos do rei.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme.
33 Aitofel era conselheiro do rei. Husai, o arquita, era amigo do rei.
34 Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari.
34 Aitofel foi sucedido por Joiada, filho de Benaia, e por Abiatar. Joabe era o comandante do exército real.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar 1 Crônicas 27, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.