Mateus 2

Swahili NT (SWA) vs AAI

Sair da comparação
AAI TUR GEWASIN O BAIBASIT BOUBUN
1 Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu,
1 Judea wanawanan Herod bi’aiwob ana veya’amaim, merar bar ta wabin Bethlehem imaim Jesu tufuw. Nati’imaim orot so’obayah afa daman baiyabayah veya yeninane hina Jerusalem hitit,
2 wakauliza, "Yuko wapi mtoto, Mfalme wa Wayahudi, aliyezaliwa? Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
2 naatu sabuw hibatiyih, “Jew hai aiwob kek tutufuw i menamaim inu’in? Aki ana daman veya yeninane yey a’itin imih kwafirinamih ana.” Orot so’obayah ta daman isan uaman iuti’ut|alt="wise men one pointing to star" src="cn01627b.tif" size="col" loc="Mat 2.1-2" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="2.1-2"
3 Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu.
3 Aiwob orot Herod iti tur nonowar i ana not kasiy, naatu Jerusalem wanawanan sabuw etei’imak auman hai not kasiy.
4 Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria, akawauliza, "Kristo atazaliwa wapi?"
4 Basit firis ukwarih naatu Ofafar Bai’obaiyenayah etei eaf hina ibatiyih, “Keriso i boro menamaim natufuw?”
5 Nao wakamjibu, "Mjini Bethlehemu, mkoani Yudea. Ndivyo nabii alivyoandika:
5 Hiya’afut hio, “Judea wanawanan bar merar ta wabin Bethlehemamaim. Anayabin dinab orot iti na’atube Buk Atamaninamaim hikirum,
6 `Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda, kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu, Israeli."`
6 ‘Judah tafaram wanawanan, bar merar etei hai aiwob wanawanahimaim,
7 Hapo, Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota, akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea.
7 Imaibo Herod veya yenin nanawan hina hima’am eaf hirun wa’iwa’iramaim ibatiyih, kok taso’ob veya abistanamaim daman yey hi’itin.
8 Kisha akawatuma Bethlehemu akisema, "Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."
8 Naatu au Bethlehem biyafarih i’uwih eo, “Kwanan kek kwananuwih gewas kwana’itin naatu kwanamatabir au tur kwana’owen, saise ayu’ubo anan anakwafir.”
9 Baada ya kumsikiliza mfalme, hao wataalamu wa nyota wakaenda. Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto.
9 Aiwob orot iti na’atube eo hinonowar ufunamaim hitit hin, naatu daman ta’imon veya yeninane hi’itin hinan au nah i’iyon na kek inu’in tafanamaim nutanub bat.
10 Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno.
10 Nati daman hi’i’itin ana veya hiyasisir naatu hikawasa men kafaita.
11 Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: dhahabu, ubani na manemane. ic
11 Bar wanawanan hirun kek hinah Mary hairi hi’itih, suh hiyowen kek hikwafir. Imaibo hai kaukufet hirufamen hai siwar gold, frankincense, naatu myrrh hibotaiten kek hisiwar.
12 Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine.
12 Naatu matabir maiye Herod biyan titamih hio’o, baise fai hai mimumaim God imatnuwih, naatu ef ta hibai hin hai tafaram hitit.
13 Baada ya wale wageni kuondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto, akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapokwambia, maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto."
13 Nanawan orot hinan ufunamaim, Regah ana tounamatar Joseph ana mimumaim tit iu, “Kumisir kek hinah hairi kubuwih kwabihir kwan Egypt imaim kwanama’am boro ana’obo kwanatit, anayabin Herod i kek asabuninamih ana ef enunuwet.”
14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri.
14 Basit Joseph misir kek hinah hairi buwih gugumin wanawanan hibihir hin Egypt hitit,
15 Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie: "Nilimwita Mwanangu kutoka Misri."
15 nati’imaim hima’am Herod morob. Imih sawar iti himamatar i abisa Regah ana dinab orot iwan Buk Atamaninamaim kikirum i na i turobe, “Egyptane ayu Natu abotait tit.”
16 Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
16 Herod veya yenin nanawan hai baifuwen titita’ur ana veya, yan so’ar gagamat bufut naatu orotokek nati Bethlehem wanawanan naatu bar merar nati sisibinamaim iyabowat hai kwamur rou’ab au babe re’er etei asabunuw isan ana baiyowayah iyunih hitit. Iti na’atube eo biyunih anayabin i veya abisa’amaim nanawan daman hi’itin hio nonowar imaim sinaf.
17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:
17 Naatu abisa dinab orot Jeremiah eo kikirum i na yabin matar.
18 "Sauti imesikika mjini Rama, kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake, wala hataki kutulizwa, maana wote wamefariki."
18 “Ramah bar meraramaim yuwen atubob gagamin maiyow re’er hinowar,
19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
19 Herod momorob ufunamaim, Joseph Egypt ma’ama Regah ana tounamatar Joseph ana mimumaim tit iu,
20 akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa."
20 “Kumisir kek hinah hairi kubuwih kwamatabir maiye kwan au Israel, anayabin sabuw iyab kek asabuninamih hi’o i himoroboka.”
21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli.
21 Basit Joseph matan nuw misir, Jesu hinah hairi buwih himatabir maiye hina Israel hitit.
22 Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya,
22 Baise Arselaus tamah Herod ana efan bai, Judea wanawanan ma bi’aiwob Joseph ana tur nowar, naatu imaim na ma’amih bir. Mimumaim auman God imatanuw, imih i au Galilee na’at na,
23 akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "Ataitwa Mnazare."
23 bar merar ta wabin Nazareth imaim bar wowab ma, saise abisa dinab oro’orot Buk Atamaninamaim hi’o hikikirum i na yabin matar, “Jesu isan boro hinao i Nazareth matuwan”.

Ler em outra tradução

Comparar com outra

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Mateus 2, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.