João 20
Swahili NT (SWA) vs AAI
1 Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.
1 Fur an bubusuruf, maraumanika Mary Magdalin eregugumin auman in hubemaim tit, nuwanuw hub awan kabay hifururuw tit inu’in itin. |alt="women see stone rolled away" src="cn01850B.tif" size="col" loc="Jhn 20.1" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="John 20.1"
2 Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, "Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka."
2 Imih i matabir erenunuw in Simon Peter biyan naatu bai’ufununayan orot ta Jesu biyabuw i hairi biyah tit naatu eo, “Sabuw hina Regah biyan hubemaim hibosair naatu i menamaim hiya’iy, it men taso’ob.”
3 Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
3 Imih Peter naatu bai’ufununayan orot ta hairi hub itinamih hin.
4 Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
4 Naatu hairi erenununuw hin, baise bai’ufununayan orot ta Peter i gegesair i wan in hubemaim tit.
5 Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
5 Naatu i kwafure nuwariy waifuw Jesu hisumisum inu’in itin baise men runamih.
6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
6 Naatu Simon Peter, uf nunuw na tit naatu in hub wanawanan run, waifuw Jesu hisum inu’in itin.
7 na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.
7 naatu murubih tesumasum ana faifuw Jesu nukwarin himetan auman inu’in itin. Nati waifuw i taiyuwinawat nu nabin in, men Jesu biyan hisumisum aumanamih.
8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.
8 Naatu bai’ufunenayan orot ta wan na hubamaim titit, i auman run. Itin itumatum.
9 Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
9 Naatu Buk Atamaninamaim eo i men hiso’ob, Jesu i boro morobone namisir.
10 Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.
10 Naatu bai’ufnunenayah himatabir hai ubar hin.
11 Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,
11 baise Mary hub ufunane bat rererey. Rerey auman kwafure hub wanawanan nuwariy
12 akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni.
12 naatu tounamatar rou’ab hai waifuw kwes Jesu inu’in ana efanamaim hima’am, ta nukwarinane ta anane.
13 Hao malaika wakamwuliza, "Mama, kwa nini unalia?" Naye akawaambia, "Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!"
13 I babin hibatiy, “O aisim kurererey?” Babin eo, “Au Regah hibosair hibai hin menamaim hiyai, naatu ayu men aso’ob.”
14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.
14 Iti na’atube eo ana veya tatatabir Jesu nati’imaim batabat itin, baise i men so’ob nati i Jesu.
15 Yesu akamwuliza, "Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?" Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, "Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua."
15 Jesu eo, “Babin, o aisim kurererey? O i yait kununuwih” Babin notanot i masaw bowayan ta, imih i eo, “O inab inanan na’at, kuo anowar menamaim iyai saise ayu anan anab.”
16 Yesu akamwambia, "Maria!" Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, "Raboni" (yaani "Mwalimu").
16 Jesu babin isan eo, “Mary” Naatu Mary tatabir Jesu isan rerey Aramaic turamaim eo, “Rabboni.” Anayabin i Bai’obaiyenayan.
17 Yesu akamwambia, "Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu."
17 Jesu eo, “Biyau men inabutubun, anayabin ayu men amatabir an Tamai biyan atitamih. baise kwen taitu hai tur ku’owen. Ayu amamatabir Tamai isan na’atube kwa Tamat, ayu au God kwa auman a God.”
18 Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.
18 Mary Magdalin tur bai matabir in bai’ufnunenayah biyah tit, eo, “Ayu Regah aitin.” Naatu Jesu abistanawat eo nonowar i hai tur eowen.
19 Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, "Amani kwenu!"
19 Fur antoro’ot bubusuruf ana rabirab, bai’ufununayah etei’imak hiru’ay bar wanawanan etawan hitufabon hima’am, anayabin Jew hai ukwarih isah hibir. Jesu na hai founamaim bat naatu eo, “Tufuw isa nama.”
20 Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana.
20 Iti na’atube eo’o ufunamaim, i uman naatu sisibin i’obaiyih. Anamaramaim Regah hi’i’itin, bai’ufununayah yasisir dogoroh awan karatan.
21 Yesu akawaambia tena, "Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi."
21 Jesu ibanak eo maiye, “Tufuw isa nama! Tamat ayu iyunu ana, na’atube ayu kwa abiyuni.”
22 Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, "Pokeeni Roho Mtakatifu.
22 Naatu earatit tafahimaim yen naatu eo, “Anun Kakafiyin kwabai.
23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi."
23 O yait ta tura ana kakafin inanonotawiy na’at, i i notawiy, o men hai kakafih inanonotawiyen na’at, God men nanotawiyihimih.”
24 Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.
24 Thomas, wabin ta Kikifukek, bai’ufununayah nah 12 i orot ta, i men bairi hima’am Jesu natitamih.
25 Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, "Tumemwona Bwana." Thoma akawaambia, "Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki."
25 Bai’ufnunenayah afa ana tur hi’owen, “Aki Regah a’itin.”
26 Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, "Amani kwenu!"
26 Fur nati ufunamaim ana baitumatumayah ibanak hiru’ay maiye bar wanawanan hima’am, naatu Thomas i nati’imaim bairi etawan hitufabon hima’am, Jesu na hai founamaim bat naatu eo, “Tufuw isa nama!”
27 Kisha akamwambia Thoma, "Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!"
27 Naatu Thomas isan eo, “Uma kim iti’imaim kuyai, umu kwi’itah. Uma ku’ut ena au fit kubutubun. Kasiy kwihamiy naatu kwitumatum.”
28 Thoma akamjibu, "Bwana wangu na Mungu wangu!"
28 Thomas Jesu isan eo, “Ayu au Regah, au God.”
29 Yesu akamwambia, "Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini."
29 Naatu Jesu Thomas iu, “Anayabin o ayu i’itu imih kubitumatum; iyab men ayu ti’i’itu baise tebitumatum i baigegewasin tebaib.”
30 Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki.
30 Jesu ina’inanen afa gewagewasih moumurih maiyow sinafen ana bai’ufununayah matahimaim, nati afa men bukamaim hikirumen ti’inu’in.
31 Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake.
31 Baise iti afa i hikirumen ti’inu’in saise imaim kwana’itin kwanitumatum Jesu Keriso, i God Natun, naatu i wabinamaim kwanabitumitum kwa boro yawas kwanab.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar João 20, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.