João 1
Swahili NT (SWA) vs AAI
1 Hapo Mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.
1 Tafaram matara’e ana veya Tur i wan ma, naatu Tur i God hairi hima, naatu Tur i God taiyuwin.
2 Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu.
2 Tur i God hairi wan hima’abo tafaram matar.
3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.
3 Tur wanawananamaim God sawar etei’imak sinafen himatar; iti sawar himamatar i etei tur wanawananamaim himatar men ta asir matar kwaneyanamih.
4 Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.
4 Tur i yawas an anababatun, naatu iti yawas i sabuw isah marakaw bai na.
5 Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
5 Iti marakaw guguminamaim kusisiar, naatu gugumin men karam boro marakaw na’asabun.
6 Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane,
6 God ana kob abarayan wabin John iyafar na tit;
7 ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini.
7 marakaw isan sif ruboun eorereb sabuw hinowar, naatu sabuw iyab tur hinonowar hitumatum.
8 Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga.
8 I taiyuwin i men marakaw; i marakaw akisin ana sif narubonamih na.
9 Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
9 Iti marakaw i turobe, marakaw anababatun, tafaramaim na sabuw tafahimaim ekukusisiar.
10 Basi, Neno alikuwako ulimwenguni; na kwa njia yake ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua.
10 Tur i na tafaram eo mamatar wanawananamaim ma, baise tafaram i men inanimih.
11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.
11 I na ana tafaram tit, baise taiyuwin ana sabuw i men hibaimih.
12 Lakini wale wote waliompokea na kumwamini, hao aliwapa uwezo wa kuwa watoto wa Mungu.
12 Baise sabuw afa hibai naatu wabinamaim hitumitum, naatu baibasit itih i hina God natunatun himatar.
13 Hawa wamekuwa watoto wa Mungu si kwa uwezo wa kibinadamu, wala kwa nguvu za kimwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali Mungu mwenyewe ndiye baba yao.
13 God natunatun himamatar i men orot anarara, o men orot babin aawan hairi hi’in kek tetutufu na’atube’emih, baise i God akisin anakokok sinaf i natunatun himatar.
14 Naye Neno akawa mwanadamu, akakaa kwetu. Nasi tumeuona utukufu wake, utukufu wake yeye aliye Mwana wa pekee wa Baba; amejaa neema na ukweli.
14 Tur i na orot matar, naatu wanawanatamaim ma, ana marakaw bonamanamarin i taitin, iti marakaw bonamanamarin i God Natun ta’imonamo ebitin. Iti tur wanawanan i turobe naatu manaw kabeber awan karatan.
15 Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, "Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: `Anakuja mtu mmoja baada yangu ambaye ni mkuu kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa."`
15 John iti orot isan fanan sib binan eo,” Iti orot ayu isan ao’oban iti enan, anamaramaim ayu iti na’at ao, ‘I ayu ufu enan i ana fair ra’at ayu natabiru, anayabin i wan ma’abo ayu atufuw.’”
16 Kutokana na ukamilifu wake sisi tumepokea neema mfululizo.
16 I wanawanan manaw kabeber karsuwei it etei ebigegewasinit, ana baigegewasin tafan baban ebitit.
17 Maana Mungu alitoa Sheria kwa njia ya Mose, lakini neema na kweli vimekuja kwa njia ya Kristo.
17 Anayabin God ana ofafar i Moses itin, baise manaw kabeber naatu turobe i Jesu Keriso’one na.
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote ule. Mwana wa pekee aliye sawa na Mungu ambaye ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari za Mungu.
18 Men yait ta God itin. baise God Natun ta’imon Tamah wanawananamaim ema’am akisinamo God bai na bebeyanamaim tasusu’ub.
19 Huu ndio ushahidi Yohane alioutoa wakati viongozi wa Wayahudi kule Yerusalemu walipowatuma makuhani wa Walawi kwake wamwulize: "Wewe u nani?"
19 Jew hai ukwarih Jerusalem hima’am firis afa naatu hai baibaisayah afa hiyafarih hin John hibatiy? “O i yait?”
20 Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, "Mimi siye Kristo."
20 I men baifuwenamaim iyafutih, baise i mutufor bebeyanamaim eorereb, “Ayu i men Keriso.”
21 Hapo wakamwuliza, "Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Yohane akajibu, "La, mimi siye." Wakamwuliza, "Je, wewe ni yule nabii?" Yohane akawajibu, "La!"
21 Naatu hibatiy, “Bo o i yait? Om Elizah?” John eo, “Ayu men Elizah.” Ai o dinab orot?” John iya’afutih eo, “Ayu men dinab orot.”
22 Nao wakamwuliza, "Basi, wewe ni nani? Wasema nini juu yako mwenyewe? Tuambie, ili tuwapelekee jibu wale waliotutuma."
22 Ibanak hibatiy maiye hio, “O i yait? Ku’o anowar saise anamatabir anan iyab hiyafari anan hai tur ana’owen. O taiyuw isa boro inakubuna ananowar.”
23 Yohane akawajibu, "Mimi ndiye yule ambaye nabii Isaya alisema habari zake: `Sauti ya mtu imesikika jangwani: Nyoosheni njia ya Bwana."`
23 John iya’afutih dinab orot Isaiah Buk Atamaninamaim kirum inu’in imaim eo, “Ayu i orot ta fanan araramaim eafa’af. Ef kwanarumutufur Regah ana remor isan!”
24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.
24 Kob nayah Pharisee hiyafarih hina,
25 Basi, wakamwuliza Yohane, "Kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala yule nabii, mbona wabatiza?"
25 John hibatiy, “Bo o men Keriso, o Elizah o dinab orot na’at, aisim sabuw bapataito kubitih?”
26 Yohane akawajibu, "Mimi nabatiza kwa maji, lakini yuko mmoja kati yenu, msiyemjua bado.
26 John hai tur eowen eo, “Ayu harewamaim sabuw bapataito abitih, Baise kwa wanawanamaim orot ta ebatabat kwa men kwaso’ob.
27 Huyo anakuja baada yangu, lakini mimi sistahili hata kumfungua kamba za viatu vyake."
27 I Ayu ufu’umaim enan, an ana baibaiyon murab men gewasu boro anarufamen.”
28 Mambo haya yalifanyika huko Bethania, ng`ambo ya mto Yordani ambako Yohane alikuwa anabatiza.
28 Iti sawar etei i Bethany himatar harew Jordan sisibin veya yeninane, John sabuw bapataito bitihimaim.
29 Kesho yake, Yohane alimwona Yesu akimjia, akasema, "Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu!
29 Mar to John nuw Jesu nan itin eo, “Kwanuw God Ana Lamb tafaram ana kakafin bosairenayan enan kwa’itin!”
30 Huyu ndiye niliyesema juu yake: `Baada yangu anakuja mtu mmoja aliye mkuu zaidi kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa!`
30 Iti orot isan ao’orereb anamaramaim iti na’atube ao, ‘Orot ayu ufu’umaim enan i ana fair ra’at kwanekwan, anayabin i wan ma’abo ayu a tufuw.’
31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua."
31 Ayu taiyuwu auman iti orot men asu’ub, baise anayabin nati isan ayu harewamaim sabuw bapataito abitih imaim Israel sabuw isah tirerereb hitaso’ob’.
32 Huu ndio ushahidi Yohane alioutoa: "Nilimwona Roho akishuka kama njiwa kutoka mbinguni na kutua juu yake.
32 Naatu John iti tur eorereb. “Ayu Anunin mamu imag na’atube marane ra’iy naatu i tafanamaim mamara’at aitin.
33 Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: `Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.`
33 Ayu iti orot i boro men ataso’ob, baise God iyunu ana harewamaim sabuw bapataito abitih i au tur eowen, ‘Orot yait Anunin nara’iy tafanamaim namara’at ina’i’itin, i boro Anun Kakafiyinamaim bapataito nitih.’”
34 Mimi nimeona na ninawaambieni kwamba huyu ndiye Mwana wa Mungu."
34 John eo, “Ayu aitinika naatu ao’orereb iti i God Natun.”
35 Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi wake wawili.
35 Ana martot John iban maiye ana bai’ufununayah orot rou’ab bairi hina efan ta’imonamaim hibatabat.
36 Alipomwona Yesu akipita akasema, "Tazameni! Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu."
36 Naatu Jesu na natabirih inan i’itin anamaramaim, John eo, “God ana Lamb enan kwa’itin!”
37 Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.
37 Anamaramaim bai’ufununayah orot rou’ab iti hinonowar, i hairi Jesu hi’ufunun.
38 Basi, Yesu aligeuka, na alipowaona hao wanafunzi wanamfuata, akawauliza, "Mnatafuta nini?" Nao wakamjibu, "Rabi (yaani Mwalimu), unakaa wapi?"
38 Jesu nunutabir, orot rou’ab hibi’ufunun itih naatu ibatiyih, “Kwa abistan kwakokok?”
39 Yesu akawaambia, "Njoni, nanyi mtaona." Hao wanafunzi wakamfuata, wakaona mahali alipokuwa anakaa, wakashinda naye siku hiyo. Ilikuwa yapata saa kumi jioni.
39 I iya’afutih eo, “Kwanatan, kwa taiyuw efan kwa’itin.”
40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu.
40 John abistan eo’o orot rou’ab hinowar Jesu hibi’ufunun orot ta i Andrew, Simon Peter tain
41 Andrea alimkuta kwanza Simoni, ndugu yake, akamwambia, "Tumemwona Masiha" (maana yake Kristo).
41 Andrew Jesu bihamiy ufunamaim wantoro’ot i tuwah Simon nuwih, naatu tita’ur ana tur eowen, “Ayu i Roubininenayan atita’ur, nati i Keriso.”
42 Kisha akampeleka Simoni kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama Simoni akasema, "Wewe ni Simoni mwana wa Yohane. Sasa utaitwa Kefa." (maana yake ni Petro, yaani, "Mwamba.")
42 Naatu Andrew tuwah Simon nawiy in Jesu biyan tit.
43 Kesho yake Yesu aliamua kwenda Galilaya. Basi, akamkuta Filipo, akamwambia, "Nifuate."
43 Ana marto, Jesu au Galilee namih bobogaigiwas, Philip tita’ur naatu iu, “Kuna kwi’ufnunu tan.”
44 Filipo alikuwa mwenyeji wa Bethsaida, mji wa akina Andrea na Petro.
44 Philip ana tafaram i Betsaida, Andrew tuwah Peter bairi hai bar merar ta’imon.
45 Naye Filipo akamkuta Nathanieli, akamwambia, "Tumemwona yule ambaye Mose aliandika juu yake katika kitabu cha Sheria, na ambaye manabii waliandika habari zake, yaani Yesu Mwana wa Yosefu, kutoka Nazareti."
45 Philip na Nathanael tita’ur naatu iu, “Iti orot isan Moses Buka Atamaninamaim eo kikirum naatu dinab oro’orot auman hikikirum i boun atita’ur, iti orot tamah i Joseph ana bar ana merar i Nazareth.”
46 Naye Nathanieli akamwuliza Filipo, "Je, kitu chema chaweza kutoka Nazareti?" Filipo akamwambia, "Njoo uone."
46 “Nazareth! Sawar gewasin ta boro imaim namatar?” Nathanael ibat.
47 Yesu alipomwona Nathanieli akimjia alisema juu yake, "Tazameni! Huyo ni Mwisraeli halisi: hamna hila ndani yake."
47 Anamaramaim Jesu nuw Nathanael nan itin, isan eo, “I turobe Israel mowan, i orot ana yawas gewasin men baifufuwenayan.”
48 Naye Nathanieli akamwuliza, "Umepataje kunijua?" Yesu akamwambia, "Ulipokuwa chini ya mtini hata kabla Filipo hajakuita, nilikuona."
48 Nathanael ibatiy, “O mi’itube ayu isu’ubu?”
49 Hapo Nathanieli akamwambia, "Mwalimu, wewe ni Mwana wa Mungu. Wewe ni Mfalme wa Israeli!"
49 Imaibo Nathanael eorereb eo, “Rabbi, Bai’obaiyenayan o i God Natun! o i Israel hai Aiwob.”
50 Yesu akamwambia, "Je, umeamini kwa kuwa nimekwambia kwamba nilikuona chini ya mtini? Utaona makubwa zaidi kuliko haya."
50 Jesu eo, “O i tumatum anayabin ayu a tur aowen o i ai fig an ima’am ait. O boro sawar gagamihika ina’itan men iti i’i’itin na’atube.”
51 Yesu akaendelea kusema, "Nawaambieni kweli, mtaona mbingu zinafunguka na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Mtu."
51 Tur tafan ya’abar maiye eo, “Turobe a tur ao’owen, kwa boro mar ana etawan nabotawiy, naatu God ana tounamatar Orot Natun biyanamaim hinayen hinarara’iy kwana’itih.”
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar João 1, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.