Atos 27

Swahili NT (SWA) vs AAI

Sair da comparação
AAI TUR GEWASIN O BAIBASIT BOUBUN
1 Walipokwisha amua tusafiri mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine chini ya ulinzi wa Yulio aliyekuwa ofisa wa jeshi katika kikosi kiitwacho "Kikosi cha Augusto."
1 Aki au Italy na’at na isan hinot hiyayabuna ufunamaim Paul naatu dibur sabuw afa bairi hibuwih Rome baiyowayah hai orot ukwarin babanamaim wabin Julius umanamaim hiya’i. Caesar baiyowayah orot hai kou’ay wabin Aiwob ana Baiyowayah. |alt="map" src="Paulrome.tif" size="col" ref="Acts 27.1"
2 Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji wa Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi.
2 Aki wa tafaram Adaramitiamane na batabat abai, iti wa i Asia wanawanan awar etei run titamih nununuw abai. Masedonia orot wabin Aristakus ana tafaram Thessalonica i auman is ra’at bairi an.
3 Kesho yake tulitia nanga katika bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.
3 Anan marto Sidon arun, Julius, Paul isan i igewasin, baibasit itin ana ofonah bainanawanihimih itih ana kokok abisa baibaisin isan iu.
4 Kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha Kupro ambapo upepo haukuwa mwingi.
4 Nati’imaim atit maiye ana, baise yabat kufuti, imih aki wa abai ai kewakew Cyprus nuw sisibinamaim isinfafari anunuw an.
5 Halafu tulivuka bahari ya Kilikia na Pamfulia, tukatia nanga Mura, mji wa Lukia.
5 Anunuw anan i atit are Silisia naatu Pamfilia hai riy yan foun autubun arabon ana Maira arun Laisia wanawanan.
6 Hapo yule ofisa alikuta meli moja ya Aleksandria iliyokuwa inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani.
6 Nati’imaim Julius orot ukwarin Alexandria hai wa ta au Italy nununuw tita’ur, basit aki imaim yara’ahi.
7 Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na Nido. Kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.
7 Veya moumurih maiyow efamaim aremor, yabat rabi auman awani ayey ana bar merar Sinidus anatabir. Baise yabat i ra’at men karam boro mutufor atanunuw, imih aki Kurit nuw isinfafari anunuw Samone sisibin rounane.
8 Tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo "Bandari Nzuri", karibu na mji wa Lasea.
8 Kufuti auman awani tor rewarewan anunuw ana efan wabin Umabibin imaim atit, bar merar Lasea sisibinamaim Umabibin imaim arun.
9 Muda mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo:
9 Nati’imaim veya manin maiyow ama naatu busurufin maiye na isan yabat i ra’at re sakirafut. Anayabin gagar ana veya i mar etei notawiyen ana hiyuw ufunamaim ebubusuruf. Imih Paul imatnuwih eo,
10 "Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu."
10 “Oro’orot ayu ai’itin it tanatit tananan i boro kakafin wan tanamara’at, wa boro nataseb, sawar etei boro tanisaroun naatu it auman boro tanamorob.”
11 Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema Paulo.
11 Baise baiyowayan hai orot gagamih Julius, Paul ana tur men nowar, baise wa ana kaifenayan, naatu wa matuwan abisa hio hai tur i’ufunun.
12 Kwa kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea kuendelea na safari, ikiwezekana mpaka Foinike. Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi.
12 Naatu nati awar wa rouwin rarab siba’u imaim ma isan men igewasin, imih orot etei hai kok i boro wa hitimtawiy takakaram na’at atarabon Phoenix imaim rarab siba’u atama. Phoenix awar i tafaram Kurit wanawanan naatu nati awar i gewasin anayabin umabibin oyaw na’atune veya ere’er boro ina’itin nare.
13 Basi, upepo mzuri wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo lao; hivyo wakang`oa nanga, wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete.
13 Waruw kikimin gurufune tarsisin, orot hinotanot abisa hio i mamatar, imih aumor hitain hiyen naatu rarar hibora’aten Kurit dones sisibin akutitiy.
14 Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao "Upepo wa Kaskazi" ulianza kuvuma kutoka kisiwani.
14 Baise men yok yabat gagamin wabin wowog oyawane babin re.
15 Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo.
15 Wa rab, aki bai kewakew run maiye isan abiwa’an men karam basit yabat wan amara’at atit are.
16 Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli.
16 Baise anunuw ana nuw kikimin wabin Kauda guruf na’atune bat aki sisibin umabibin isinfafari, naatu hifafair wa kikimin uranane atain yen,
17 Wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya Libya. Kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo.
17 murab hibow hikiktatan gaigiwas, wa afe’en baginayah yabat buwih run Libia dones yen yara’ahih hirouw hibir, basit rar hitaiyen hire wa bat earuw.
18 Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.
18 Yabat i wan fus kubar rouw in marto, naatu wa afe’en sabuw sawar hibow hisrouruwen riy yan hire.
19 Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.
19 Naatu veya baitaunin i wa ana sawar afa: rar, murab, koutataren, naatu boy i hibow taiyan hitaiyen hire.
20 Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona jua wala nyota; dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka yakatuishia.
20 Tafaram etei gugum aki sumar, daman men a’itah veya manin maiyow yabat kutuw rouw inan aki etei akasiy yawas isan anotanot ai not etei sawar.
21 Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, "Waheshimiwa, ingalikuwa afadhali kama mngalinisikiliza na kuacha kusafiri kutoka Krete. Kama mngalifanya hivyo tungaliiepuka shida hii na hasara hizi zote.
21 Orot nati wa afe’en veya bai’ab ama yabat rarabi bay men yait ta eaan, Paul misir nah yan foun bat eo, “Oro’orot kwa gewasin ayu fanau kwatanowar Kurit tatama’am iti sawar boro men hita’af naatu boro men ta yababan tab.
22 Lakini sasa ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea.
22 Baise boun i kwa abifefeyani koufair kwanab, anayabin kwa orot etei boro men ta inamorobomih. Wa akisinamo boro natafofor na’unun.
23 Kwa maana jana usiku malaika wa yule Mungu ambaye mimi ni wake na ambaye mimi ninamwabudu alinitokea,
23 Fai gugumin God ayu aru, naatu God ayu akwakwafir i ana tounamatar iyafar ayu sisibu’umaim bat,
24 akaniambia: `Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu, kwa wema wake, amekufadhili kwa kuwaokoa wote wanaosafiri nawe wasiangamie.`
24 naatu iuwu, ‘Paul men inabir, o i boro Caesar nanamaim ubar hibit hinibabatiyi. God i ana kabeberamaim sabuw iti bairi wa afe’en kwanan hai yawas etei o umamaim ya, imih boro men yait ta namorob.’
25 Hivyo, waheshimiwa, jipeni moyo! Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa.
25 Imih oro’orot koufair kwanab! Anayabin ayu God abitumitum abisa eo anonowar na’atube boro nasinaf.
26 Lakini ni lazima tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani."
26 Baise it i boro narabit tanan nuw ta ana donesamaim boro nayara’ahit.”
27 Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
27 Yabat rabi Mediterenean tor yan areremor fur rou’ab sawar veya 14 baib ana veya nati ana gugumin imaim wa afe’en baginayah naniyah hibaib aki i ana tafaram abiyubin.
28 Hivyo walitafuta kina cha bahari kwa kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita arobaini. Baadaye wakapima tena wakapata mita thelathini.
28 Basit murab hibai aumor hi’utan hitaiy re taiy hifufufum ana fofonin i 40 metres naatu hima kafai naatu hifufun maiye hi’tin i 30 metres.
29 Kwa sababu ya kuogopa kukwama kwenye miamba, waliteremsha nanga nne nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi.
29 Naatu hai bir i ra’at yabin yabat boro wa nab anan ar afe’en nayara’ah, imih aumor etei kwafe’en wa uranane hitaiyen hire naatu mar saise to isan hima hiyoyoban.
30 Wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.
30 Imaibo wa afe’en bowayah wa baihamiyin bihiramih hima hiyakitifuw. Naatu wa kafai hirufam harew yan hitaiy re, hitifuwen wa nanane aumor baitaiyin hitarouw hitanan i aunah hitanamih.
31 Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, "Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka."
31 Baise Paul baiyowayah hai orot ukwarin bobonawiyih naatu baiyowayah iuwih eo, “Iti wa afe’en bowayah wa afe’en men hinama’am na’at, kwa etei i men karam boro yawas kwanab.”
32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.
32 Basit baiyowayah kaiy hibow wa kafai ana murab hi’afuw naatu hitumar e’aruw in.
33 Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: "Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.
33 Mar sibisib auman, Paul orot etei iuwih eo, “Kwa i bay kwanaa, anayabin bay en kwama’am boun fur rou’ab sawar naatu ya wanawanan i men abisa ta ema’am.
34 Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea."
34 Imih abifefeyani bay kwanaa fair kwanab, arib boro men ta nata’uy nare nakasiyomih.”
35 Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula.
35 Paul iti eo ufunamaim rafiy bai orot etei nahimaim God ana merar yi, imasib naatu busuruf eaan.
36 Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.
36 Etei hi’itin koufair hibai naatu etei’imak bay afa hibow yah hirutan.
37 Jumla tulikuwa watu mia mbili na sabini na sita katika meli.
37 Naatu aki nati wa afe’en anan nai etei i 276.
38 Baada ya kila mmoja kula chakula cha kutosha, walipunguza uzito wa meli kwa kutupa nafaka baharini.
38 Orot etei bay hi’aa yah biw ufunamaim, wheat nati wa afe’en hi’iuin hibow harew yan hitaiyen hire wa kerer.
39 Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
39 Mar totoririb ana veya wa afe’en baginayah dones men hi’inan, baise umabibin ana dones hi’itin naatu wa hibai hisinaftobon nati dones yen baitet ra’ahin isan hinunuw.
40 Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.
40 Wa ana aumor hi’afuw tai yan hi’in naatu gunig ana murab au ta’imon hirufam, imaibo rar hibora’ah wa bai aki au dones anunuw arun.
41 Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana, na meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi.
41 Baise wa nunuw rur yabat rab mamay yan yen naatu yara’ah nanane re tatab bai’etaw isan men karam, naatu uranane yabat rab tagurugurus.
42 Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka.
42 Baiyowayah dibur etei rouw morob isan hiyakitifuw, men hikok boro hitataiy dones hitayen hitabihir.
43 Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani,
43 Baise baiyowayah hai orot gagamin i Paul tiyawas imih baiyowayah abisa hinot hio i eotanih, naatu iuwih eo, “O yait itaiy isoso’ob wan kukununuw kure kutaiy kwen dones kuyen.
44 na wengine wafuate wakijishikilia kwenye mbao au kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika salama pwani.
44 Naatu afa i boro uf hinare wa rab tatagurugurus rebarebah afe’eh hinayen hinataiy hinarun.” Aki iti na’atube asinaf etei yawasi ataiy an dones yan ayen men yait ta morob. Wa tafofor hire au dones tetataiy|alt="shipwrecked people making for shore" src="cn02045B.tif" size="col" loc="Act 27.44" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="27.44"

Ler em outra tradução

Comparar com outra

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Atos 27, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.