Atos 1
Swahili NT (SWA) vs AAI
1 Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote Yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake
1 Theophilus au buk wantoro’ot i Jesu ana bowabow etei mi’itube busuruf bow sabuw i’obaibiyih inan
2 mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni aliwapa maagizo kwa njia ya Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
2 God bora’ah au mar yey isan i ao akirum. Baise au mar yena’e ana veya orot iyab kob abarin isan rurubinih i Anun Kakafiyinane roube’aten tur itih.
3 Kwa muda wa siku arobaini baada ya kifo chake aliwatokea mara nyingi kwa namna ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona, naye aliongea nao juu ya ufalme wa Mungu.
3 Ana bai’akir ufunamaim, isah irerereb hai not hikwaris hima hibinotanot ana sinaf ef tata’amaim botabirih hi’itin hiturobe i, i yawasin ma’ama, veya 40 wanawanan ana bairererebamaim God ana aiwob isan i’obaibiyih hima hinowar.
4 Wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: "Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi Baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake.
4 Veya ta bairi hima bay hi’aa ana maramaim, iuwih eo, “Jerusalem men kwanihamiy, baise kwanama Tamai a siwar baitimih eomatani, ao kwanonowar isan kwanakaif.
5 Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu."
5 Anayabin John i harewamaim bapataito it, baise veya bai’ab na’atube ufunamaim kwa boro Anun Kakafiyinamaim bapataito kwanab.”
6 Basi, mitume walipokutana pamoja na Yesu, walimwuliza, "Je Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha ule ufalme kwa Israeli?"
6 Basit Tur Abarayah etei hina hibita’imon ana veya hibatiy, “Regah, karam iti boun aiwob itab Israel sabuw ititih maiye?”
7 Lakini Yesu akawaambia, "Nyakati na majira ya mambo hayo viko chini ya mamlaka ya Baba yangu, wala si shauri lenu kujua yatakuwa lini.
7 Iyafutih eo, “Veya naatu sumar abisa’amaim iti sawar hinamamatar isan i God akisin ana fair tafanamaim veya yakitifuw, i boro men kwa kwanaso’obamih.
8 Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia."
8 Baise kwa i Anun Kakafiyin nanan ana veya’amaim fair boro kwanab, naatu ayu isau Jerusalemamaim boro kwanabusuruf kwanakubuna, kwanatit Judea wanawanan, Samaria, naatu kwanatit kwanan tafaram yomanin.”
9 Baada ya kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone tena.
9 Iti na’atube eo ufunamaim, God bora’ah yen himtitiy auman in sakuk wanawanan run himat kasiy.
10 Walipokuwa bado wanatazama juu angani, akiwa anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa wamevaa nguo nyeupe walisimama karibu nao,
10 Matah etei hikubar nati mar wanawanan rurumaim hibat hi’i’itin, naniyan meyemeye orot rou’ab hai faifuw kwes sisibihimaim himatar. Tounamatar ro’ab bai’ufununayah bairi teo|alt="Two angels speaking to disciples" src="CN01887B.TIF" size="col" loc="Act 1.10" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="1.10-11"
11 wakasema, "Enyi wananchi wa Galilaya! Mbona mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu ambaye amechukuliwa kutoka kwenu kwenda mbinguni atakuja tena namna hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni."
11 Naatu hi’uwih. “Galilee oro’orot, kwa aisim kwabat au mar kwanuwanuw? Iti Jesu ta’imon God kwa biyamaim bora’ah au mar yey, i boro ef ta’imon kwa’itin yeyebe boro namatabir maiye nanan kwana’itin.”
12 Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.
12 Imaibo Olive Oyaw hihamiy himatabir maiye hin Jerusalem hitit, ef ana manin i one kilometre na’atube.
13 Walipofika mjini waliingia katika chumba ghorofani ambamo walikuwa wanakaa; nao walikuwa Petro, Yohane, Yakobo, Andrea, Filipo na Thoma, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
13 Hina bar hitit, naatu hiyen bar awan ta no tafan i hima’ama’amaim hitit. Iyabowat nati’imaim hima’ama wabih i iti, Peter, John, James, Andrew, Philip, Thomas, Bartholomew, Matthew, naatu James, Alpheus natun, naatu Simon Kafafarayan, naatu Judas, James natun.
14 Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.
14 Iti orot i mar etei hina hita’imon hiyoyoyoban, baibin bairi, naatu i wanawanahimaim i Mary Jesu hinah naatu taitin auman.
15 Siku chache baadaye, kulikuwa na mkutano wa waumini, karibu watu mia moja na ishirini. Petro alisimama mbele yao,
15 Nati ana veya’amaim bai’ufununayah etei 120 na’atube wanawanahimaim Peter misir eo,
16 akasema, "Ndugu zangu, ilikuwa lazima ile sehemu ya Maandiko Matakatifu itimie, sehemu ambayo Roho Mtakatifu, kwa maneno ya Daudi, alibashiri habari za Yuda ambaye aliwaongoza wale waliomtia Yesu nguvuni.
16 “Taitu, marasika Anun Kakafiyin David iwan Bukamaim eo kikirum i Judas ana sinafumaim nati tur na yabin matar. I rafot rouwayan na’atube sabuw bonawiyih Jesu hifatum.
17 Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.
17 Judas i ata kou’ay orot ta naatu iti bowabow wanawananamaim bairi tabow.
18 "Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu. Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje.
18 Bowabow kakafin sisinaf isan ana baiyan hibitin imaim me tubun ukwarin aubabe re yi yan fudir kabutin ihouw.
19 Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba `Hekeli Dama`, maana yake, `Shamba la Damu.`)
19 Sabuw Jerusalem hima’ama etei ana tur hinowar, imih hai turamaim nati efan wabin Akeldama hiwab. Wab anayabin ‘Rara ana Efan.’
20 Basi, imeandikwa katika kitabu cha Zaburi: `Nyumba yake ibaki mahame; mtu yeyote asiishi ndani yake.` Tena imeandikwa: `Mtu mwingine achukue nafasi yake katika huduma hiyo.`
20 Anayabin Psalm wanawananamaim iti na’atube eo,
21 Kwa hiyo, ni lazima mtu mwingine ajiunge nasi kama shahidi wa ufufuo wake Bwana Yesu. Anapaswa kuwa mmoja wa wale waliokuwa katika kundi letu wakati wote Bwana alipokuwa anasafiri pamoja nasi, tangu wakati Yohane alipokuwa anabatiza mpaka siku ile Yesu alipochukuliwa kutoka kwetu kwenda mbinguni."
21 Isan imih, igewasin orot yait ata Regah Jesu wanawanatamaim ma reremor ana veya i bairi tama tabowabow boro i tanarubin.
22 []
22 Naatu nati orot i John Baptist ana veya’amaim bairi taibuya tana Jesu hibora’ah au mar yey i boro tanarubin. Anayabin ata orot ta nati na’atube tanarurubin i boro Jesu morobone mimisir isan bairi sif tanarubon.”
23 Basi, wakataja majina ya watu wawili; wa kwanza Yosefu aliyeitwa Barsaba (au pia Yusto), na wa pili Mathia.
23 Basit orot rou’ab hikutaitih, Joseph wabin ta Barsabas, wabin baitounin Justus naatu Mathias hairi hirubinih.
24 Kisha wakasali: "Bwana, wewe unajua mioyo ya watu wote. Hivyo, utuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
24 Imaibo hiyoyoban. “Regah o sabuw etei dogoroh iso’ob. Imih abifefeyani orot iti rou’ab kwi’obaiyi menatan i o irubin. Peter ana ofonah bairi teyoyoyoban|alt="Peter and others praying" src="cn01903B.tif" size="col" loc="Act 1.24" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="1.24"
25 ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe."
25 Judas ana efan nab tur abarayan namatar, anayabin Judas iti efan ihamiy ana ma’ama efan rurubinimaim in.”
26 Hapo, wakapiga kura; kura ikampata Mathia, naye akaongezwa katika idadi ya wale mitume wengine kumi na mmoja.
26 Imaibo hi’arow, naatu Mathias wabin hisusu’ub ana veya arow ben, basit Mathias hibai tur abarayah nah 11 hima’ama wanawanah run.
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Atos 1, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.