Atos 12

Swahili NT (SWA) vs AAI

Sair da comparação
AAI TUR GEWASIN O BAIBASIT BOUBUN
1 Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
1 Nati ana veya’amaim Herod busuruf sabuw afa hina ekalesia ana kou’ayamaim hima’am bow fatum bai’akir kakafin maiyow itih.
2 Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu yake Yohane.
2 Naatu John tuwah James uwih hibai kaiyomaim hiyi morob.
3 Alipoona kuwa kitendo hiki kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu.)
3 Iti na’atube sinaf Jew sabuw hibiyasisir itih, basit, Faraw Wanawanan Yeast En ana hiyuw hi’aa ana mar eo Peter hibai hifatum.
4 Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
4 Peter hibai hifafatum ufunamaim hibai hin dibur hiyari’iy, baiyowayah etei 16 hima’uh hima.
5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
5 Imih Peter diburamaim hibotan hima, baise ekaleisia dogoroh tutufin etei God isan hiyoyoban.
6 Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
6 Nati gugumin ta’imon Pilate yayakitifuw mar tatot tibatiyimih, Peter baise ma’utenayah orot rou’ab hai founamaim uman rororon chain hi’utan. Naatu au waraunane i ma’utenayah umah hi’utan naatu i matan fot in. Dibur etawan auman ma’utenayah hibat hikakaif.
7 Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa akisema, "Amka upesi!" Mara ile minyororo ikaanguka kutoka katika mikono yake.
7 Naniyan meyemeye Regah ana tounamatar run bat naatu marakaw bar wanawanan kusisiar re, tounamatar Peter tuwabun bai ibunibun eo, “Mata enuw kumisir saife.” Mar ta’imonamo Peter uman chain hiha’obow hire. Tounamatar na Peter ebibunibun|alt="Angel awaking Peter" src="cn01953B.tif" size="col" loc="Act 12.7" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="12.7"
8 Malaika akamwambia, "Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako." Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, "Vaa koti lako, unifuate."
8 Imaibo tounamatar Peter iu, “A faifuw kwiyoun naatu a baibiyon kwiyoun.” Peter na’atube sinaf naatu tounamatar eo, “A faifuw tafan baibiyon naiw kufifin naatu kwi’ufnunu.”
9 Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
9 Peter i’ufunun hairi hitit dibur bar ufunane hire, baise Peter men kafa’imo so’ob tounamatar abisa sisinaf, i notanot i mimim rouw.
10 Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
10 Hitit ma’utenayah etawan wan hibatabat naatu etawan bairou’abin hibatabat hinatabirih. Naatu hina etawan gagamin in bar merar titit awanamaim hitit, etawan akisin botawiy hitit ef yan hire. Ef nati hibutitiy hin yomaninamaim hitit, basit tounamatar sa’iwa’an.
11 Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, "Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia."
11 Peter imaibo matan to iwa’an eo, “Turobe, iti sawar i anababatun ayu isou matar. Regah ana tounamatar iyafar Herod ana fairane naatu Jew sabuw sawar abisa hinotanot mataramih i umahine ayu iyawasu.
12 Alipotambua hivyo alikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Maria mama yake Yohane aitwaye Marko. Humo watu wengi walikuwa wamekusanyika wakisali.
12 Peter ana not kukubunai ufunamaim na John Mark hinah Mary ana bar tit. Nati’imaim sabuw moumurih na’in hiru’ay hima hiyoyoyoban.
13 Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.
13 Peter na etawan ufunane bat rukikitar, naatu bowabow babitai wabin Rhoda etawan botawiyinamih na.
14 Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.
14 Baise Peter fanan i’inan ana maramaim yan wanawanan yasisir awan karatan etawan botawiyina’e i matabir nunuw run e’af eo, “Peter na ufun ebatabat.”
15 Wakamwambia yule msichana, "Una wazimu!" Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, "Huyo ni malaika wake."
15 Sabuw hi’u, “O anot i kwaris.” Baise i ana yanibebemaim, imih hio, “Nati i Peter ayubin.”
16 Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
16 Baise Peter bat rurukikitar etawan hibotawiy, naatu hi’i’itin ana veya hifofofor men kafaita.
17 Petro aliwaashiria kwa mkono wakae kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Kisha akawaambia watoe taarifa ya jambo hilo kwa Yakobo na wale ndugu wengine, halafu akatoka akaenda mahali pengine.
17 Peter umanamaim iman awah bofot naatu Regah mi’itube diburane bobotait hai tur eowen, “Iti i James ana tur kwana’owen naatu taitu auman hai tur kwana’owen.” Imaibo ihamiyih tit efan ta’amaim in.
18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.
18 Mar auman baiyowayah wanawanahimaim kasiy gagamin na’in matar, taiyuwih hibabatiyih hio, “Peter isan mi’itube’emih iti na’atube matar?”
19 Herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. Hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. Halafu akatoka huko Yudea akaenda Kaisarea ambako alikaa.
19 Herod kwararih hin hinuwih, baise men hitita’ur. Basit ma’utenayah orot nah 16 buwih ibabatiyih sawar eo hibow hin hirouw himorob.
20 Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Lakini wao walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata Blasto awe upande wao. Blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu ya mfalme. Kisha, wakamwendea Herode wakamwomba kuwe na amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula.
20 Herod ana yaso’ar gagamin na’in Taiya naatu Sidon sabuw isah biyaso’aso’ar. Imih sabuw kou’ay hibai Herod itinamih hina. Wantoro’ot aiwob ana orot gagamin wabin Blastus yan hiyi rabon isahine bat imaibo hina Herod biyan hitit tufuw isan hifefeyan. Anayabin hai tafaram ana bay i Herod ana tafaramane nan.
21 Siku moja iliyochaguliwa, Herode akiwa amevaa mavazi rasmi na kuketi katika kiti cha kifalme aliwahutubia watu.
21 Veya hirurubin na’atube aiwob hai gub ana faifuw bai iyoun ana urama’ama’amaim mare ma sabuw isah binan.
22 Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, "Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu."
22 Sabuw tur hinonowar hio, “Iti men orot ebibinanumih, baise god.”
23 Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa.
23 Mar ta’imon Regah ana tounamatar Herod rab re morob biyan motamot hi’an morob, anayabin sabuw bora’aten hibitin men bai God itinimih.
24 Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.
24 Naatu God ana tur ra’at tasasar tit sabuw etei hinowar.
25 Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena Yerusalemu wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko.
25 Barnabas, Saul hairi hai bowabow hibisawar ufunamaim Jerusalemane himatabir maiye John Mark hibai bairi hin.

Ler em outra tradução

Comparar com outra

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Atos 12, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.