Apocalipse 3
Swahili NT (SWA) vs AAI
1 "Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye na roho saba za Mungu na nyota saba. Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa!
1 “Iti tur i Sardis ekaleisia ana tounamatar isan inakirum.
2 Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu.
2 Kwamisir! Abisa kikimin biyamaim ema’am koufair kwanitinibo namorob nasawar, anayabin kwa abisa kwasisinaf au God matanamaim atitita’ur i men gewasin anababatun.
3 Kumbuka, basi, yale uliyofundishwa na jinsi ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia ghafla kama mwizi, na wala hutaijua saa nitakapokujia.
3 Abisa kwanowar kwabaib i kwananot, kwanabosiyasiyar naatu dogor hinikitabir. Baise men kwanamimisir na’at, ayu boro bainowan mowan na’atube anan, naatu veya boro men kwa kwanotanotamaim ananamih.
4 Lakini wako wachache huko Sarde ambao hawakuyachafua mavazi yao. Hao wanastahili kutembea pamoja nami wakiwa wamevaa mavazi meupe.
4 Baise kwa Sardis wanawanan ekaleisia matan ta a faifuw i kwasouwen kwama’am, a faifuw kwes kwa’osen ayu bairi taremor tanan, anayabin kwa asinaf i gewasin.
5 "Wale wanaoshinda, watavikwa mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake.
5 Orot yait baiyow fokarin bisnowah i boro ana faifuw kwes na’us, naatu ayu wabin wanatowan ana bukamaim boro men anasafam, baise wabin boro anaorereb Tamai nanamaim na’atube tounamatar nahimaim.
6 "Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
6 Yait tainin nama’am na’at Anun Kakafiyin ekaleisia isan abisa eo inanowar.”
7 "Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, ambaye anao ule ufunguo wa Daudi, na ambaye hufungua na hakuna mtu awezaye kufungua.
7 “Iti tur i ekaleisia Piladelfia wanawanan tema’am ana tounamatar isan inakirum,
8 Nayajua mambo yako yote! Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna mtu awezaye kuufunga; najua kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu, umelitii neno langu wala hukulikana jina langu.
8 Ayu aso’ob kwa asinaf, naatu kwana’itin, ayu kwa isa etawan i abotawiy naatu boro men yait ta nahir, ayu aso’ob kwa afair i kikimin, baise ayu au bai’obaiyen kwabosiyasiyar kwabi’ufunun naatu wabu men kwayayoub.
9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe ni wadanganyifu. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba kweli nakupenda wewe.
9 Kwananowar! Sabuw iyab Satan ana Kou’ay Baremaim tema’am, taiyuwih hifufuwih tibijew moyamoy boro anao kikinih hinan kwa amaim hinakwafir hinare, naatu hinaso’ob kwa i ayu abiyabuwi.
10 Kwa kuwa wewe umezingatia agizo langu la kuwa na uvumilivu, nami pia nitakutegemeza salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu wote wanaoishi duniani.
10 Anayabin kwa au obaiyunen tur kwabai yatenubamaim ewawainabi, routobon nati tafaramamaim boro enan sabuw iyab nati me yan tema’am routubunih isan, ayu boro kwa anatafafari.
11 Naja kwako upesi! Linda, basi, ulicho nacho sasa, ili usije ukanyang`anywa na mtu yeyote taji yako ya ushindi.
11 “Ayu boro’omo anan. Abisa kwabobotan i kwanabukikin, saise boro men yait ta kwa a kowas nabosair.
12 "Wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika Hekalu la Mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yao jina la Mungu wangu na jina la mji wa Mungu wangu, yaani Yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika juu yao jina langu jipya.
12 Orot yait baiyow fokarin ebisnowah, i boro Tamai God Ana Bar ana wabat namatar. Naatu nati Tafaror Bar boro men nihamiyimih. Ayu boro Au God wabin biyanamaim anakirum naatu au God ana bar merar wabin anakirum. Jerusalem boubun au God biyan marane ere’ere, naatu ayu auman boro wabu boubun imaim anakirum.
13 "Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
13 O yait tain nama’am na’at, tur iti Anun Kakafiyin ekaleisia isan eo inanowar.”
14 "Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aitwaye `Amina`. Yeye ni shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu.
14 “Tur iti inakirum Laodicea ekaleisia ana tounamatar isan.
15 Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: baridi au moto.
15 Ayu kwa a bowabow i aso’ob, kwa men siba’u’i o men fora’abi, akokok i mi’itube iti ta’ane kwatama.
16 Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika!
16 Baise ana itinin i a fora’abin kikimin, men siba’u’un naatu men towa anababatun, imih ayu boro awou’umaim ana kwai’atait kwanatit.
17 Wewe unajisema, `Mimi ni tajiri; ninajitosheleza, sina haja ya kitu chochote.` Kumbe, hujui kwamba wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu tena uko uchi!
17 Kwa taiyuw i totobuyoy wairaf kwarouw kwao, naatu sawar etei aur karamin kwarouw kwao, naatu men kwakokok boro sawar ta kwanab, baise kwa taiyuw men kwa’inani kwaso’obamih, kwa i kakaf, tenakuyakuy, bai’akirayah, mata fim, segar.
18 Nakushauri ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto upate kuwa tajiri kweli. Tena afadhali ununue pia vazi jeupe, uvae na kufunika aibu ya uchi wako. Nunua pia mafuta ukapake machoni pako upate kuona.
18 Ayu biyau’umaim gold kwatutubun isan a tur aowen not ait, gold wairafamaim hi’afun hirurububunai inu’in kwatatutubun kwa boro totobuyoy wairaf kwatamatar. Naatu faifuw kwes kwata’us, saise a biya’ohow ana segar kwatasum. Naatu fiyow kwatatubun mata kwatasouw, saise mata takubunai kwatanuw gewas.
19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako.
19 “Sabuw iyab ayu abiyabuwih i akwararih ayayamutufurih, imih akokok gewasinamaim dogor baikitabir kwanab.
20 Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami.
20 Ayu i iti, a etawan awan abat arurukikitar, orot babin yait fanau nanowar ana etawan nabobotawiy na’at, ayu boro anarun airi anafarambonen anaa anatom. Jesus a etawan erurukikir|alt="Jesus knocking on door" src="cn02107B.tif" size="col" loc="Rev 3.20" copy="©1978 David C. Cook Publishing Co." ref="3.20"
21 "Wale wanaoshinda nitawaketisha pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi mwenyewe nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
21 “Orot yait baiyow nabisnowah, ayu boro baibasit anitin au urama’ama’amaim namare, ayu baiyow aisnowah Tamai ana urama’ama’amaim amare airi ama’am na’atube.
22 "Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!"
22 O yait tain nama’am na’at, iti tur Anun Kakafiyin ekaleisia isah eo inanowar!”
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Apocalipse 3, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.