Apocalipse 10
Swahili NT (SWA) vs AAI
1 Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama moto.
1 Imaibo ayu tounamatar ta fairin marane tit sakuk wanawanan earmetan auman re nan aitin. Ukwarinamaim ana kaniy rouw naatu an ana itinin wairaf na’atube matan yafuyafun auman, ana yumat i veya na’atube rarasib.
2 Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu,
2 Umanamaim fef firorow kikimin rusasar auman rena, an ana’asukwafune riy yan bat naatu an ana beyawane me yan bat,
3 na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo.
3 fanan aumetawat na’in e’afa’af ananowarin i lion egagaran na’atube, eafa’af ufunamaim, gunum etei seven gugugug hiwa’an hiya’afut.
4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: "Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!"
4 Naatu hibiya’afut ana veya ayu ata kirumamih abubusuruf, baise marane fanan ta eo, “Abisa gunum seven hio inonowar ana wa’iwa’irin o akisimo inabotan men bukamaim inakirum!”
5 Kisha yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu akainua mkono wake wa kulia juu mbinguni,
5 Imaibo tounamatar riy yan naatu me yan bat ai’itin uman ana asukwafune au mar bora’ah.
6 akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, "Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha!
6 Naatu orot nati wanatowan, wanatowan ema’am isan mar tafaram riy sawar etei sinafen wanawanan tema’am, Regah God wabinamaim eo baifaro eo, “Veya boro men ta au’uf tananawiyimih!
7 Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii."
7 Baise tounamatar bai seven ana tour nabababin ana veya God ana kirikirifot abisa kurerereb ana dinab orot nonowar na’atube boro natit yomanin na’asa’ub.”
8 Kisha ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: "Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu."
8 Imaibo fanan maramaim anonowar iban iuwu maiye eo, “Kwen buk nati tounamatar riy yan naatu me yan ebatabat umanamaim rusasar inu’in kubai.”
9 Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, "Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!"
9 Imih ayu ana tounamatar ai fefeyan buk kikimin baitu isan ao, iuwu eo, “Kubai naatu ku’aan, kamokam boro nitenkuyakuy baise awamaim ina’ani’an ana mumunin boro tafu’ube.”
10 Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.
10 Tounamatar umanamaim buk firorow abai naatu aan, ani’aan ana mumunin i tafu’ube baise ani’aan ufunamaim kamoukamou itenkuyakuy.
11 Kisha nikaambiwa, "Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa Mungu kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!"
11 Imaibo hi’uwu, “God ana tur sabuw moumurih, tafaram ta ta, tur ta ta, naatu aiwob ta ta isah ina’orereb maiye.”
Atalhos do teclado
- Capítulo anterior←
- Próximo capítulo→
- Versículo anteriork
- Próximo versículoj
- Limpar seleçãoEsc
- Esta ajuda?
Estude este capítulo no WhatsApp
Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Apocalipse 10, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.