Salmos 141

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,

4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

6 watawala wao watatupwa chini

7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,

9 Niepushe na mitego waliyonitegea,

10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 141, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.