Salmos 12

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;

2 Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;

3 Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila

4 ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;

5 “Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge

6 Maneno ya Bwana ni safi,

7 Ee Bwana, utatuweka salama

8 Watu waovu huenda wakiringa kila mahali

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 12, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.