Salmos 115

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™ (SWHONEN)

1 Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi,

2 Kwa nini mataifa waseme,

3 Mungu wetu yuko mbinguni,

4 Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,

5 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

6 zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

7 zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,

8 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

9 Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana,

10 Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana,

11 Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana,

12 Bwana anatukumbuka na atatubariki:

13 atawabariki wale wanaomcha Bwana,

14 Bwana na awawezeshe kuongezeka,

15 Mbarikiwe na Bwana

16 Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana,

17 Sio wafu wanaomsifu Bwana,

18 bali ni sisi tunaomtukuza Bwana,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado

Estude este capítulo no WhatsApp

Peça à IA da Bíblia Fala para explicar Salmos 115, comparar traduções ou montar um estudo — tudo direto pelo WhatsApp.